Cheki Masanja anavyohaha, kweli kutunza mke si mchezo!

Cheki Masanja anavyohaha, kweli kutunza mke si mchezo!

Hata kama masanja angekuwa kaandaa semina ya jinsi ya kutunza Pesa ni jambo LA hero na pia anastahili kufanya hivyo. Hii ni kutokana na historia ya maisha yake alikotoka ,kiwango kidogo cha elimu ya darasani na alipo sasa.

Kwa mtazamo wangu, si lazima mtu asomee Finance kuweza kumshauri mtu masuala ya fedha hasa fedha binafsi hizi tunazochangachanga. Katika maisha halisi tumeshuhudia wasomi wakubwa wa uchumi na mambo ya fedha wameshindwa kuishi taaluma zao lakini kuna watu kama masanja wanaweza kusaidia kwa kuwa wamepitia magumu na wamefanikiwa kwa kutunza na kukizalisha kidogo wanachokipata na sasa wako juu.

Sio kila jambo litahitaji maprofesa ,Tz ina maprofesa wangapi lakini wengi wao hawana msaada kwa Taifa. Bungeni tunao tele wanalala usingizi tu.Sana sana wanajua nadharia za kutunza fedha lakini mtu kama masanja anajua namna ya kutunza fedha kwa vitendo.
 
Husilazimishe kuelewa hujaelewa, umekurupuka
 
Masanja huyu huyu aliyekuwa akiwacheka wenzake kuwa wamefulia, sijui wameloweka, hivi karibuni ameonekana 'akihaha' kutafuta pesa kwa udi na uvumba!

Huyu si ndo alikuwa anawachapa vijana viboko pale Jangwani ati kwa nini hawaoi? Unadhani kuoa ni swala la mchezo mchezo eeh? Sasa hivi vibiashara vya kupigia pesa 'unrealistically' vinaonesha zaidi kuwa akaunti ya Masanja imesinyaaa na huenda akafulia na kuuza Bima siku si nyingi 😀😀😀.

Embu ona hapa amelala na mke wake sijui ndio wameshauriana waje na hiki kiseminia? Eti semina juu ya kutunza pesa, tangu lini Masanja akawa na elimu ya kutosha ya mambo ya Finance kiasi cha kuwakalisha watu semina na kuwalipisha laki? Si bora tumchukue prof Lipumba aje atoe semina kama hiii?
Kweli maisha ni safari ndefu, unaweza ukawacheka wenzako kwa vile hujui ya kesho.

View attachment 430837
Kodofan nadhani hujauelewa ujumbe wa Masanja...
Anawashangaa hao wanaolipa hiyo 100,000/=
 
Masanja huyu huyu aliyekuwa akiwacheka wenzake kuwa wamefulia, sijui wameloweka, hivi karibuni ameonekana 'akihaha' kutafuta pesa kwa udi na uvumba!

Huyu si ndo alikuwa anawachapa vijana viboko pale Jangwani ati kwa nini hawaoi? Unadhani kuoa ni swala la mchezo mchezo eeh? Sasa hivi vibiashara vya kupigia pesa 'unrealistically' vinaonesha zaidi kuwa akaunti ya Masanja imesinyaaa na huenda akafulia na kuuza Bima siku si nyingi 😀😀😀.

Embu ona hapa amelala na mke wake sijui ndio wameshauriana waje na hiki kiseminia? Eti semina juu ya kutunza pesa, tangu lini Masanja akawa na elimu ya kutosha ya mambo ya Finance kiasi cha kuwakalisha watu semina na kuwalipisha laki? Si bora tumchukue prof Lipumba aje atoe semina kama hiii?
Kweli maisha ni safari ndefu, unaweza ukawacheka wenzako kwa vile hujui ya kesho.

View attachment 430837
Kwa vyovyote vile huwezi kumfikia masanja.Mwenzako ana Gari ya milioni70,mashamba na nyumba ikiwemo ghorofa
Ni sahihi akiwapa watu mbinu za kifedha hata kama ni mbinu pori kuliko wewe mwenye chuki binafsi
 
Mtu wa kwanza asiyeeleweka ni mleta thread hii
Kajiamiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiini kuleta pumba zake hapa
KASOMA BILA KUELEWA HALAFU ANATULAZIMISHA NA SISI TUSIELEWE KAMA YEYE...idiot...
 
Mtoa mada hakumuelewa Masanja ,yani unatoa laki kwenda kufundishwa namna ya kutunza kuanzia sh mia(
100)
 
Yani mleta thread hakuelewa masanja anazungumzia nini na alimaanisha nini na wachangiaji wengi nao hawasomi wanachangia tu
 
Masanja huyu huyu aliyekuwa akiwacheka wenzake kuwa wamefulia, sijui wameloweka, hivi karibuni ameonekana 'akihaha' kutafuta pesa kwa udi na uvumba!

Huyu si ndo alikuwa anawachapa vijana viboko pale Jangwani ati kwa nini hawaoi? Unadhani kuoa ni swala la mchezo mchezo eeh? Sasa hivi vibiashara vya kupigia pesa 'unrealistically' vinaonesha zaidi kuwa akaunti ya Masanja imesinyaaa na huenda akafulia na kuuza Bima siku si nyingi 😀😀😀.

Embu ona hapa amelala na mke wake sijui ndio wameshauriana waje na hiki kiseminia? Eti semina juu ya kutunza pesa, tangu lini Masanja akawa na elimu ya kutosha ya mambo ya Finance kiasi cha kuwakalisha watu semina na kuwalipisha laki? Si bora tumchukue prof Lipumba aje atoe semina kama hiii?
Kweli maisha ni safari ndefu, unaweza ukawacheka wenzako kwa vile hujui ya kesho.

View attachment 430837
Ww nawe bure kabisa ...jua kutofautisha na kubainisha mambo.....the guy just joked.
 
Mkuu ni hivi Masanja anawaponda wale wanaotoa semina za kutunza pesa. Kwenye semina kama hizo unaambiwa uchangie 100,000 au 500,000......sasa somo zuri na la kwanza kuhusu kutunza pesa ni USIENDE KWENYE HIO SEMINA KWANI USIPOENDA UTAKUWA UMETUNZA HIO 100,000 au 500,000! Na si kwamba Masanja anatoa hayo mafunzo.
asante kwa kumuelewesha vizuri..............anazani maisha yalivyomshinda yeye na wenzie ndo ivoivo.
 
mleta uzi ni KILAEIZA!...acha chuki binafsi fanya kaz uwe km masanja!...."au mke wa masanja alikuwa dem wako nn?" maana siyo kwa CHUKI hii ya waziiii! mfyuuuuuuu
 
hivi vijicho haviishi humu ndani eee, masanja kashachanja yuko mbali nyie vijicho tuuuu
 
Masanja huyu huyu aliyekuwa akiwacheka wenzake kuwa wamefulia, sijui wameloweka, hivi karibuni ameonekana 'akihaha' kutafuta pesa kwa udi na uvumba!

Huyu si ndo alikuwa anawachapa vijana viboko pale Jangwani ati kwa nini hawaoi? Unadhani kuoa ni swala la mchezo mchezo eeh? Sasa hivi vibiashara vya kupigia pesa 'unrealistically' vinaonesha zaidi kuwa akaunti ya Masanja imesinyaaa na huenda akafulia na kuuza Bima siku si nyingi 😀😀😀.

Embu ona hapa amelala na mke wake sijui ndio wameshauriana waje na hiki kiseminia? Eti semina juu ya kutunza pesa, tangu lini Masanja akawa na elimu ya kutosha ya mambo ya Finance kiasi cha kuwakalisha watu semina na kuwalipisha laki? Si bora tumchukue prof Lipumba aje atoe semina kama hiii?
Kweli maisha ni safari ndefu, unaweza ukawacheka wenzako kwa vile hujui ya kesho.

View attachment 430837
Mtu akikuchukia hata ukicheza kwenye maji yeye atadai unamtimulia vumbi.

Umetumia nguvu nyingi bila sababu ndugu yangu.
 
Back
Top Bottom