Cheki Masanja anavyohaha, kweli kutunza mke si mchezo!

Cheki Masanja anavyohaha, kweli kutunza mke si mchezo!

MTU anashindwa kuelewa vitu rahisi story na attachment haviendani kabisa....Hii ni hatari kwa taifa la viwanda tuliloadiwa
 
Mkuu ni hivi Masanja anawaponda wale wanaotoa semina za kutunza pesa. Kwenye semina kama hizo unaambiwa uchangie 100,000 au 500,000......sasa somo zuri na la kwanza kuhusu kutunza pesa ni USIENDE KWENYE HIO SEMINA KWANI USIPOENDA UTAKUWA UMETUNZA HIO 100,000 au 500,000! Na si kwamba Masanja anatoa hayo mafunzo.
Upo vizurii sana aisee agiza soda uko ulipo ujipongezee
 
Mkuu Kodofan mi naona kama anajoke hapo na kusema kuwa kama unalipishwa pesa kwenda kwenye semina ya jinsi ya kutengeneza pesa basi uwe na akili usiende. Wapi ametangaza semina, au umeamua kumchamba tu masanja leo?
Dah napenda sana wadada wa namna yako uko makini sana
 
Mleta mada ni hater.Haihitaji hata astashahada kujua hiyo ni joke

Ni lini alitandika watu viboko kisa hawaoi,yani ule utani na Mc Pilipili ndio ukachukulia serious?
 
View attachment 430860

Wala sio jockes, deep down anapima upepo. Akiona watu wengi wanamshobokea ndio analeta semina, ila akiona watu hawamshobokei ndio anajifanya eti ilikuwa jockes...
Si unakumbuka alifungua kakibanda ka kuuza ubwabwa kule Tabata afu kakabuma? Sasa kukafunga anaona aibu na kukaendeleza anaona hasara. Kabaki njia panda.
Magufuli keshasema wapiga dili wote kwishney....
chuki itakuua rafiki
 
Masanja huyu huyu aliyekuwa akiwacheka wenzake kuwa wamefulia, sijui wameloweka, hivi karibuni ameonekana 'akihaha' kutafuta pesa kwa udi na uvumba!

Huyu si ndo alikuwa anawachapa vijana viboko pale Jangwani ati kwa nini hawaoi? Unadhani kuoa ni swala la mchezo mchezo eeh? Sasa hivi vibiashara vya kupigia pesa 'unrealistically' vinaonesha zaidi kuwa akaunti ya Masanja imesinyaaa na huenda akafulia na kuuza Bima siku si nyingi 😀😀😀.

Embu ona hapa amelala na mke wake sijui ndio wameshauriana waje na hiki kiseminia? Eti semina juu ya kutunza pesa, tangu lini Masanja akawa na elimu ya kutosha ya mambo ya Finance kiasi cha kuwakalisha watu semina na kuwalipisha laki? Si bora tumchukue prof Lipumba aje atoe semina kama hiii?
Kweli maisha ni safari ndefu, unaweza ukawacheka wenzako kwa vile hujui ya kesho.

View attachment 430837
mtanzania halisi na roho tako asili kabisa maana mnapenda sana maanguko ya wenzenu ili wawe broke kama nyie
 
Hujamuelewa Masanja,
Anachomaanisha ni sawa na Mganga kukuomba hela ili akupe dawa ya wewe kupata Hela.
 
Ila huyu Masanja, hata akikaribia kupiga goli, mkewe atajua ni utani tu, sbb hajaenda shule kabisa najua hajui mipaka ya comedy na personal life kabisa, but alipo kimaisha kajitahidi with respect to his background life status
 
Ila huyu Masanja, hata akikaribia kupiga goli, mkewe atajua ni utani tu, sbb hajaenda shule kabisa najua hajui mipaka ya comedy na personal life kabisa, but alipo kimaisha kajitahidi with respect to his background life status
Mkuu umejuaje kuwa hana mipaka ya utani akiwa chumbani na mkewe?

Aisee watanzania ni magenius .
 
Back
Top Bottom