njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
Binafsi namshukuru sana msemaji wa utopwinyo kwa kutustua wana simba kwamba Mo dewji kaitapeli FCC na simba sc baada ya msemaji huyo wa yanga kuitisha press conference iliyokuwa na ma banners yenye nembo za Gsm na Utopolo fc na kusema ile cheque ya Mo dewji ni ya kitapeli ni ya mfano lakini haikuonyesha pesa zimewekwa benki gani
Hee! si nikashangaa leo Dummy cheque was presented kwa TFF bila kuonyesha imewekwa benki gani
GSM ACHENI UTAPELI TUNATAKA MSEME MMEWEKA HIZO PESA BENKI GANIIIIIIII?
LOPOLOPO TUNATAKA USEME ZIMEENDA BENKI GANI ? HALAFU TUNATAKA ILE LOGO NYEUSI SIYO HII NYEKUNDU