The blues on their way to Rome hahahahahahah mbona raha!!!
MaSANILO siku hiyo usikimbie ukiona nyumba inaungua!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
The blues on their way to Rome hahahahahahah mbona raha!!!
The blues on their way to Rome hahahahahahah mbona raha!!!
tehe tehe tehe shem sasa formation gani hii ya 9-1-0 bana....CL haina utamu nawaambieni yaani arsenal ndio washabiki wanaisubiria uwafurahishe kwa samba lao
NAONA the bluez wamechomoka . Sijui na huko darajani nako watacheza hivi kwa kulinda? Ila wakijifanya kushambilia wameumia mechi ya 2.
tatizo lenu wengi mnaangalia EPL....angalia seria A uone vitu vyake.....unaangalia ligi ya brazili uone vipaji....ronaldo de lima is backGaucho kwisha kazi anarudi kwao Brazil akaendeleze ufuska sasa...
....kabisaa bana,
mpira nusu uwanja utadhani enzi zetu za chandimu; 'shambulia goli'?... Kama Chelsea hawakutaka kucheza leo si wangesema tu nusu uwanja uzungushiwe seng'enge?!
Wewe ndio unadhani watu hawaangalii, juzi alikuwa mkeka na wakasema nanataka kurudi kwao, sio yule wa miaka miwili iliyopita ......tatizo lenu wengi mnaangalia EPL....angalia seria A uone vitu vyake.....unaangalia ligi ya brazili uone vipaji....ronaldo de lima is back
Teh teh! Umewaona Barca lakini?!..It was a good game lakini iliyojaa ushindani!
Teh teh! Umewaona Barca lakini?!..It was a good game lakini iliyojaa ushindani!
mkuu mie EPL siifagilii....mie sitaki kuona magoli tu nataka nione soka,skills vyanzu,vyobo na kadhalika.......hivi drogba anajua kupiga dana dana?Wewe ndio unadhani watu hawaangalii, juzi alikuwa mkeka na wakasema nanataka kurudi kwao, sio yule wa miaka miwili iliyopita ......
Ronaldo ameanza kuwa fiti na kapiga bao kama mbili ila bado kidogo...
BJ TV yake ya kiarabu......Belinda jamani, hiyo Televisheni yako ilikuwa imekaa upande upande nini 🙂 ...hapakuwa na ushindani, Barca walikuwa wanashambulia, CHELSEA wanalinda!
waliweka beki mbili wawili, beki tatu wawili, beki nne wawili, na beki tano watatu!
angalau Drogba yeye kidooogo aliamua kutuburudisha na zile mbizi zake kwenye majani, akiguswa chali, akiguswa chali, akiguswa kalala kabisaaaaaaa... 😡
Belinda jamani, hiyo Televisheni yako ilikuwa imekaa upande upande nini 🙂 ...hapakuwa na ushindani, Barca walikuwa wanashambulia, CHELSEA waliweka beki mbili wawili, beki tatu wawili, beki nne wawili, na beki tano watatu!
angalau Drogba yeye kidooogo aliamua kutueburudisha na zile mbizi zake kwenye majani, akiguswa chali, akiguswa chali, akiguswa kalala kabisaaaaaaa... 😡
Mle ndani babu wote wanaujua sana tu, muangalie Drogba akijaga Afrika navyowatesa, mi mwenyewe simzimii lakini anabalaa sanamkuu mie EPL siifagilii....mie sitaki kuona magoli tu nataka nione soka,skills vyanzu,vyobo na kadhalika.......hivi drogba anajua kupiga dana dana?
BJ TV yake ya kiarabu......
niskudanyanye mkuu mie EPL kipenzi changu alikuwa Jay jay okocha....walikuwa wakicheza Bolton kama jay jay hachezi siangalii mechi.....mzee wenger nampenda maana anatujali watazamaji tupendao skillsMle ndani babu wote wanaujua sana tu, muangalie Drogba akijaga Afrika navyowatesa, mi mwenyewe simzimii lakini anabalaa sana
niskudanyanye mkuu mie EPL kipenzi changu alikuwa Jay jay okocha....walikuwa wakicheza Bolton kama jay jay hachezi siangalii mechi.....mzee wenger nampenda maana anatujali watazamaji tupendao skills