kyakya,
Woga wangu ni pale nashindwa kupata picha ya jinsi rafiki yangu SHADOW atakavyojisikia CHELSEA wanavyompa kichapo mtu.
My friend EJM,
Muda si mrefu mtanange utaanza. Akikisha unakuwa na standby generator hapo ulipo si unajua umeme wa kibongo. Unakumbuka mechi y fainali last year? wanazi wanaweza zima umeme!!
