Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

upuuuuuzi mtupu sikiliza wanavyomlaumu refa hakuna alieguswa kumbe ujinga sio uwanja wa taifa tu ....
 
refariii kashanza kuchemsha wanandugu hamna mpir a tena hapo......
 
wamvalishe jezi ya blue refariiiii jamani hilo ni wazo tu...
 
Haya naona leo chelsia wako 12. Mzee wa kujirusha kasababisha redi kadi
 
upuuuuuzi mtupu sikiliza wanavyomlaumu refa hakuna alieguswa kumbe ujinga sio uwanja wa taifa tu ....

Ona huyu naye michemko tu sisomeni tena mabandiko yako....unaharibu starehe...
 
Fifa wanaitaji kurekebisha hii sheria ya watu 11
 
Kumbe refa anaruhusiwa kuongezeka kwenye timu aipendayo!!
 
ona huyu naye michemko tu sisomeni tena mabandiko yako....unaharibu starehe...
haya baba nimekuachia na jf yako uliyozaliwa nayo...we ndio mwenye haki pekee
usiku mwema ka si asbh
 
Hapo tena si unajua sisi unajua kila siku tuna fainali yetu hahaha kwenye kauwanja kadogo...ama utaanza ooohh mimi uweke mpira kwapani?

Teh teh! Nakusikilizia tu maana kama kawaida yako kukimbia na hukosi excuses mida muhimu kama hiyo...
Aisee naomba nikupongeze in advance, hongereni kwa kuingia fainali!..
Inabidi tufanye party kwakweli maana si haba tulipofika na chelsea..haa ha
 
Haya wale wale wa mwaka jana....kaaazi kweli kweli. Tela lingine hilooooo
 
Clock is ticking..tick tock tick tock.. Shadow bado una matumaini? Alves naye leo kawaangusha(Barca)

Mmezidi kujiangusha na nyie(Chelsea).
 
Nachukia sana wachezaji wanaochezea nafasi za kufunga kwa kutafuta penalti!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…