Mbu..
Asubuhi tutachambua vizuri maana ardhi imechafuka. Mwenzio kama wewe siku ile(1st leg ya man vs arsenal)....Fainali upo Barca wewe nakuona!
Shadow..
It was fun kwakweli, mpira una raha sana!..Tusubiri fainali,najua utakuwa Barca no doubt!..
Tunapata fresh air kidogo halafu tulale!..bisi bisi hazipandi tena..Thank you,catch you kesho!
amina nanyi pia...niombee msamaha kwa mkuu MASANILO yalikuwaa ushabiki amefurahi mpaka dk ya 93 nami nikaaendele dk ya 94 mpaka ROME...
AKUDO'S
huwezi jua mwenzio anakusudia nini kukulazimisha mlale mapema
ronadilnho ametuma salamu za pongezi kwa timu yake ya zamani na kuwapa mori ubingwa ni wao...gnyyyyyyyyyyyyttttttttttttttttttt
Jamani MASANILO,AB TCHAZ &INVISIBLE wameonekana leo huku jamvini?
Huyo Drogba mbona amewazingua tangu game ya kwanza anapata nafasi anakosa then anakuja kuleta fujoTumekuwepo toka kipenga cha mwanzo lakini nd'o hvyo tena.
Huyo Drogba mbona amewazingua tangu game ya kwanza anapata nafasi anakosa then anakuja kuleta fujo
Duh afadhali upo....nilishaanza kuwa worried kwamba mmechukua uamuzi kama ya yule mganaz wa Nairobi.Tumekuwepo toka kipenga cha mwanzo lakini nd'o hvyo tena.
Angalia utapewa Server BanDuh afadhali upo....nilishaanza kuwa worried kwamba mmechukua uamuzi kama ya yule mganaz wa Nairobi.
Kina Invi nao wapo?
Duh afadhali upo....nilishaanza kuwa worried kwamba mmechukua uamuzi kama ya yule mganaz wa Nairobi.
Kina Invi nao wapo?