neno breaking news linatumika pasipo stahili.....hata kule ukubwani tutaanza kuona breaking news:&%#*()_(& nzuri....
neno breaking news linatumika pasipo stahili.....hata kule ukubwani tutaanza kuona breaking news:&%#*()_(& nzuri....
acha wivu weye..angalia tukiadhibu watu tu.πππ
Leo hatunywi maji humu ndani!!!!!!!!
Kunyweni beer basi!
Hii huenda ikatokea msimu huuMpwa kumbe wapenda mayowe na kelele? Subiri August Msimu uanze farewell ya Arsene Wenger!
Hii huenda ikatokea msimu huu
Na nyie The Blues mnashangilia ushindi wa Pre-season ? Subiri ligi ianze
Tunaanza nao kwenye ngao ya HISANI...sema wewe, nikisema mie nitaitwa 'mwehu'... π
Hii huenda ikatokea msimu huu
Na nyie The Blues mnashangilia ushindi wa Pre-season ? Subiri ligi ianze