Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Tangu aje Chelsea leo ndio nimeuona ubora wa Tosin, nadhani Hata Fofana akirudi anaweza asimweke benchi tena
Tosin ni mzur siku zote, tena mzuri kuliko hata fofana mana hat kwnye kuanzisha mashambulizi pia yupo vizur sana.hakupewa tu dk na kuaminiwa. kocha alikomaa tu na yule masikio. Hatoi pasi bila kuuruka mpira kwanza.
 
Narudia tena kusema kwa ujasiri kabisa. Kukosekana kwa Cucurella jana kulituangusha sana katika safu ya kiungo na ushambuliaji. Cucurella anafanya kazi zaidi kuliko Gusto katika maeneo hayo, na Chelsea inahusika zaidi katika mashambulizi wakati Cucurella anacheza kwenye nafasi yake.

Enzo Fernandez anapata uhuru zaidi wa kucheza mbele huku Cucurella akicheza nafasi ya invert midfield.

Gusto ni fullback wa kijadi ambaye anacheza vizuri ikiwa atakaa pembeni na kutoa krosi lakini aki invert eneo la kiungo anapungua kufanya kazi vizuri. Ngoja tusubiri mechi ijayo wakati Chelsea watakuwa active kwenye kushambulia wakati Cucurella atakaporejea kwenye nafasi yake.
 
Wakati Gusto amecheza kama inverted no. 10

Matokeo yetu:
Liverpool tulipoteza kwa mabao 2-1
Ushindi mwembamba wa 2-1 dhidi ya Newcastle
Sare ya 1-1 dhidi ya United
Sare ya 1-1 dhidi ya Arsenal
Sare ya 0-0 dhidi ya Everton
Hatufungi mabao mengi wala kutengeneza nafasi Gusto akicheza kwenye hiyo nafasi
Tunaomba Mungu Cucurella arudi kwenye nafasi yake
 
Liverpool hawana timu ya kushindana nao kwenye mbio za ubingwa. Iwapo watashinda mchezo wao mkononi watawazidi Manchester City pointi 15 hivyo city hawana nafasi tena, Chelsea hawatakuwa consistent vya kutosha kushindana na Liverpool na Arsenal ni Arsenal. Hivyo ligi imeisha na Liverpool ndie bingwa wa EPL 2024/25
 
Mawinga aina ya Sancho na Madueke sometimes wanakera sana na style yao ya kupunguza spidi na kumsubiria adui amkabe.
Sub ya madueke kwa Pedro Neto sijaelewa....angemchomoa Sancho then neto aje upande wa Sancho... madueke angie
 
Mkuu mpira haupo hivyo Kama unavyofikiri hata hao liver pia watadrop point
 
Premier league sio la liga au bundas liga, hamna alio jua au kuatabili kwamba mancity angeweza kua nafasi ya saba hata kabla ya round ya kwanza bado. nani angejua kwamba mancity angetafuta hata sare kwa astoni villa.

Premier mpaka ubakize mipira miwili ukiwa unaongoza kwa zaidi ya point 7, ndo utangazwe ubigwa, Liverpool akianza kuboroga atashangaa tuombe asipate majaraha na uchovu kwa wachezaji wake, lla bado atakae shida Premier ukiondoa Chalsea ambao haiko kwenye tittle race, tukivhukua ni Bonus tu kwetu na uzembe wa Liverpool na mancity, Mancity, bado najipa nafasi, ila kwa Arsenal sio rahisi.
 
Maresca abuni mbinu nyingine ya kushinda mechi dhidi ya timu aina ya Everton zinazocheza mpira vurugu, mtu na mtu, kukaba kwa kundi.

Pia kuwapanga wachezaji wanaoweza kutembeza mpira kwa haraka haraka kuelekea lango la mpinzani.
 
Maresca abuni mbinu nyingine ya kushinda mechi dhidi ya timu aina ya Everton zinazocheza mpira vurugu, mtu na mtu, kukaba kwa kundi.

Pia kuwapanga wachezaji wanaoweza kutembeza mpira kwa haraka haraka kuelekea lango la mpinzani.
Hiyo mbinu ni ngimu kwasababu hatuna defence line nzuri, kwasababu kivuta timu kama hiyo inakubidi uchezee kwenye half yako mda mrefu ili utengeneneze na space uko mbele, sasa kwa goole keeper wetu sachezi na ma balishile Gusto tutajifunga haraka.
 
Hiyo mbinu ni ngimu kwasababu hatuna defence line nzuri, kwasababu kivuta timu kama hiyo inakubidi uchezee kwenye half yako mda mrefu ili utengeneneze na space uko mbele, sasa kwa goole keeper wetu sachezi na ma balishile Gusto tutajifunga haraka.
Hata mfumo wa kuwategemea sana winga nao una changamoto. Jana winga zetu hakuna walichofanya.

Zaidi ya kusimama na mpira kumsuburia adui wampige chenga

Mi Napenda mawinga ambao wapo direct kuingia lango la mpinzani na sio kupiga vichenga vya ovyo ovyo na kuishia kupoteza mpira
 
Hao ma winga wetu wanaweza ile hali ya 1v1 sasa Everton walikua rundo pale walikua hawawezi kupitisha mpira kirahisi ikabidi tuende kwenye plan B, ya nkunku ya kupitisha mpira kati kati ila na yeye hakuleta impact yoyote, labda tugeenda kwenye plan C ya kuwalazimisha kufanya fouls kupata short pieces.
 
Madueke na Sancho ni rahisi sana kukabika na wanaoongoza kwa kupoteza mipira mingi.

Neto angalau yupo direct impact yake inaonekana akivungulia turbo.
 
Ni kweli Neto ni flexible sanaa kupita sacho na madueke.
Kabisa chief.

Sio zile style za kumsubiria adui Mara umtishe kama unapita halafu ufunge break ghafla, mara utishie kumpiga chenga, wakati huo unajivuta vuta. Timu pinzani yote inakuwa imesharudi nyuma kujilinda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…