Huo mfumo uta switch 343Ninapenda kuona Jörgensen akianza, iwe ni mzunguko au la. Pia napenda kuwaona Nkunku na Félix wapo ndani. Shida yangu pekee ni Disasi kwenye RB
Formation 4-2-3-1
-------------Nkunku-----------------
Felix ----------Palmer----------Madueke
----Enzo----------------Caicedo-----
Cucurella ----Colwill----Tosin----Disasi
--------------Jorgensen --------------
Bench
1) Sanchez
2) Acheampong
3) Gusto
4) James
5) Veiga
6) Neto
7) Sancho
8) Guiu
9) Jackson
Bench
Inategemea vitu vinguHuo mfumo uta switch 343
Jicho la wasiwasi zaidi kwa DisasiEnzo kasoma malalamiko yenu akaweka kikosi mnachokitaka.
Subirini ushindi sasa
Felix kwa vile Ipswich ni weak opponentJicho la wasiwasi zaidi kwa Disasi
Mpira haupo hivyo kijanaKwa vumbi analotimua liver aisee hashikiki tena. Tukomae na Top 4.
ACHA KUTUGOMBANISHA NA DISASI WETU HUJUI ANAFAMILIAChelsea wamchukue yule beki wa notingham forest... murilo yuko vizuri anaweza akasaidia
Disasi mzito anakimbia kama kabeba jiwe mgongoniACHA KUTUGOMBANISHA NA DISASI WETU HUJUI ANAFAMILIA
Team imekuwa hovyo leo pia hatutoboi...Ninapenda kuona Jörgensen akianza, iwe ni mzunguko au la. Pia napenda kuwaona Nkunku na Félix wapo ndani. Shida yangu pekee ni Disasi kwenye RB
Formation 4-2-3-1
-------------Nkunku-----------------
Felix ----------Palmer----------Madueke
----Enzo----------------Caicedo-----
Cucurella ----Colwill----Tosin----Disasi
--------------Jorgensen --------------
Bench
1) Sanchez
2) Acheampong
3) Gusto
4) James
5) Veiga
6) Neto
7) Sancho
8) Guiu
9) Jackson
Bench
Aah wapi yaani labda afanye sub hatutoboi hapa.Enzo kasoma malalamiko yenu akaweka kikosi mnachokitaka.
Subirini ushindi sasa
Mnashinda hii game. Ipswich wabovuAah wapi yaani labda afanye sub hatutoboi hapa.
Unaangalia mpira?Mnashinda hii game. Ipswich wabovu
Leo siangalii. Hii ni game mtu unaweza predict matokeo na ukawa sahihi kwa 90%Unaangalia mpira?
Labda tufanye sub...
Structure wanayocheza ni ngumu sana.Giza kwenye mashambulizi, mabeki wanapigiana pasi wenyewe kwa wenyewe na wakitaka kupiga through au long passes zinaharibika. Felix anabahati mbaya kwenye kupoteza mipira na kufunga na akifunga offside. Nkunku naona kama vile hatuna mtu wa kumhudumia ili afunge. Tusubire tuone
Kwamba kupoteza mipira hovyo ni bahati mbaya au uwezo duni? Felix bado anacheza mpira wa chandimu ile umsubiri mtu umpige tobo sasa hayo mambo kwenye EPL hakunaGiza kwenye mashambulizi, mabeki wanapigiana pasi wenyewe kwa wenyewe na wakitaka kupiga through au long passes zinaharibika. Felix anabahati mbaya kwenye kupoteza mipira na kufunga na akifunga offside. Nkunku naona kama vile hatuna mtu wa kumhudumia ili afunge. Tusubire tuone