Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Enzo kasoma malalamiko yenu akaweka kikosi mnachokitaka.

Subirini ushindi sasa
 
Ninapenda kuona Jörgensen akianza, iwe ni mzunguko au la. Pia napenda kuwaona Nkunku na Félix wapo ndani. Shida yangu pekee ni Disasi kwenye RB

Formation 4-2-3-1

-------------Nkunku-----------------

Felix ----------Palmer----------Madueke

----Enzo----------------Caicedo-----

Cucurella ----Colwill----Tosin----Disasi

--------------Jorgensen --------------

Bench
1) Sanchez
2) Acheampong
3) Gusto
4) James
5) Veiga
6) Neto
7) Sancho
8) Guiu
9) Jackson

Bench
Huo mfumo uta switch 343
 
Huo mfumo uta switch 343
Inategemea vitu vingu
Kwa Enzo Maresca una switch to 3-2-4-1 au 2-4-4-1 tukiwa na mpira na unavurugika tukipoteza mpira na kurudi 4-2-3-1 kama tunapress kule mbele ila tukishambuliwa in akuwa kwenye defensive shape ambayo inaweza kuwa hata 4-5-1 au 5-4-1 kwa sababu
 
Ninapenda kuona Jörgensen akianza, iwe ni mzunguko au la. Pia napenda kuwaona Nkunku na Félix wapo ndani. Shida yangu pekee ni Disasi kwenye RB

Formation 4-2-3-1

-------------Nkunku-----------------

Felix ----------Palmer----------Madueke

----Enzo----------------Caicedo-----

Cucurella ----Colwill----Tosin----Disasi

--------------Jorgensen --------------

Bench
1) Sanchez
2) Acheampong
3) Gusto
4) James
5) Veiga
6) Neto
7) Sancho
8) Guiu
9) Jackson

Bench
Team imekuwa hovyo leo pia hatutoboi...
 
Giza kwenye mashambulizi, mabeki wanapigiana pasi wenyewe kwa wenyewe na wakitaka kupiga through au long passes zinaharibika. Felix anabahati mbaya kwenye kupoteza mipira na kufunga na akifunga offside. Nkunku naona kama vile hatuna mtu wa kumhudumia ili afunge. Tusubire tuone
 
Giza kwenye mashambulizi, mabeki wanapigiana pasi wenyewe kwa wenyewe na wakitaka kupiga through au long passes zinaharibika. Felix anabahati mbaya kwenye kupoteza mipira na kufunga na akifunga offside. Nkunku naona kama vile hatuna mtu wa kumhudumia ili afunge. Tusubire tuone
Structure wanayocheza ni ngumu sana.
 
Giza kwenye mashambulizi, mabeki wanapigiana pasi wenyewe kwa wenyewe na wakitaka kupiga through au long passes zinaharibika. Felix anabahati mbaya kwenye kupoteza mipira na kufunga na akifunga offside. Nkunku naona kama vile hatuna mtu wa kumhudumia ili afunge. Tusubire tuone
Kwamba kupoteza mipira hovyo ni bahati mbaya au uwezo duni? Felix bado anacheza mpira wa chandimu ile umsubiri mtu umpige tobo sasa hayo mambo kwenye EPL hakuna
Nkuku naye kama analazimisha aonekane mwisho wa siku anaondoka kwenye eneo lake na anajikuta kama LW
 
Back
Top Bottom