Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi Caicedo ndio mlitaka kumsajili mpaka jezi mkamvisha ghafla akaja darajaniTafuteni kiungo wa kueleweka sio caicedo
Piga na ulinzi wenuCASH-money-forever
Inaonekana leo Maresca ameamua kuweka ulinzi shirikishi
View attachment 3245597
Bench
1) Sanchez
2) Tosin
3) Sancho
4) KDH
5) George
6) Asheampong
7) Amougou
8) Samuels-Smith
9) Mheuka
Palmer anapiga nyeto sana mpaka miguu imepinda 😂Palmer minyeto 😅😅 pull zitamuua uyu dogo ad anaota kibiongo 🤣🤣🤣
Hamna mtu pale ila wao wanamuita world class wakampa acheze namba kumi🤣🤣🤣Palmer anapiga nyeto sana mpaka miguu imepinda 😂
Chief kwani matajiri wamesema wanataka ubingwa?Nimeshasema na nitaendelea kusema kama ambavyo ilikua toka msimu uliopita. Tatizo la Chelsea halipo kwa kocha peke yake lipo kwa wachezaji na bodi ya wakurugenzi wote. Au otherwise tuwe wavumilivu kwakua tunajenga timu basi tusubiri baada ya misimu miwili ndio pengine tutakuja kufanya vizuri hapa katikati tuendelee kuwa washika pembe wakati wengine wakijikatia minyama.
Kama tunataka ku challenge top 6 achana na kusajili watoto weka wachezaji wa kueleweka. Cheki Aston Villa usajili wa January ndio umetuua jana. Assensio na Rashford