Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Dunia ina maajabu, eti Felix nae ni mchezaji!
João Félix kama mchezaji nyota tayari amekufa. Ameshindwa kubadilisha uchezaji wake wa mpira. Huwezi kucheza nafasi muhimu ya katikati na kupoteza mpira kirahisi vile hivyo kuruhusu wapinzani kushambulia. Hata akipoteza kijinga anabaki wala hafukuzii kurudisha.

Hakuna kocha ambaye angemwamini vya kutosha kuanza au hata kumpa sub kwa aina hii ya uchezaji.
1737434481196.png
 
Lavia sio mtu wa kumtegemea Yani tuna 2 Full fit midfielder

Lavia hawez cheza mech 5 mfululizo
Caicedo kachoka sana, hata haonekani tena zaidi ya game mbili sasa. Hivi Maresca halioni hili hadi dirisha lifungwe au ndio KDH atatosha.

Santos angerudishwa ingeleta hata point
 
Tumeshinda 3-1 ila Chelsea ni ile ile haijabadilika. Tushukuru tulikuwa tunacheza na Wolves wasioweza kudefend wala kushambulia
Next game Na Man City lazima turudi tulambwe na tutarudi tulipotoka
 
Kama hakuna winga na sttaika wa mabao kama enzi za diego Willian na hazard hakuna timu ya maana hapa
 
João Félix kama mchezaji nyota tayari amekufa. Ameshindwa kubadilisha uchezaji wake wa mpira. Huwezi kucheza nafasi muhimu ya katikati na kupoteza mpira kirahisi vile hivyo kuruhusu wapinzani kushambulia. Hata akipoteza kijinga anabaki wala hafukuzii kurudisha.

Hakuna kocha ambaye angemwamini vya kutosha kuanza au hata kumpa sub kwa aina hii ya uchezaji.
View attachment 3208439
Last born
 
Trevoh Chalobah ni "The Blues" wa damu wa kweli ataendelea kuwaumbua SD, Directors na wale wote waliomdhalilisha kuanzia preseason
1737450467804.png
 
Enzo Maresca amesema mmajeraha ya Lavia ni mbaya zaidi ya Enzo na haijulikani atarudi lini?
Tuna kazi kubwa ya kupambania top 4, tunaingia pia kwenye ngwe ngumu ya UECL, tuna FA na Caiocedo kachoka. Tunabaki na akina KDH huku viungo wazuri akina Lesley na Andrey Santos wako mkopo na dalili ya kuwarudisha hakuna. Tumekazana kuwarudisha tu akina
  1. Aaron Anselmino - Boca Juniors
  2. Eddie Beach - Crawley Town
  3. Luke Campbell - Hendon
  4. Trevoh Chalobah - Crystal Palace🆗
  5. Ted Curd - Hampton & Richmond
  6. Gabriel Slonina - Barnsley
  7. Ronnie Stutter - Burton Albion
1737452147149.png
 
Trevoh Chalobah ni "The Blues" wa damu wa kweli ataendelea kuwaumbua SD, Directors na wale wote waliomdhalilisha kuanzia preseason
View attachment 3208661
Na jana goli la madueke ilitakiwa liwe goli la chalobah, n bc tuu madueke amefanya kuusukumiza zaidi mpira kuingia golini ila ht angeuacha ungeingia golini na kuwa goli la chalobah
 
Garnacho ni Mudryk ambae tulietaka awe

Huyu dogo anakuja kuongeza kasi zaid kwenye mashambulizi yetu
Anakuja kuongeza goals/Assist
Atapunguza mashambulizi mengi kwa wapinzani atafanya muda mwingi wawe wanazuia kuliko kutushambulia

Naomba asajiliwe haraka. Conte kaliona hili ndio maana na yeye yupo kwenye mawindo ya kunasa sign ya huyu kijana
 
Sema hapa bado tuna timu ya papatupapatu
Sanchez ni kipa wa championship
Felix ni mchezaji wenye akili za kitoto uchezaji wa kulazimisha kupiga watu matobo kila move
Disasi hata siitaji neno
Neto anachojua ni kutanguliza mpira na kukimbia
Jackson sehemu ya simple decision analeta complications zisizo na faida
Yaani
Tuna rundo la wachezaji wa kawaida wanaohitaji si chini ya misimu 2 ili kuimarika
 
GOAL! Madueke nods it in in front of goalline to make sure! Chelsea 3-1 Wolves.
1737462323363.gif


1737462333012.gif
 
Enzo Maresca amesema mmajeraha ya Lavia ni mbaya zaidi ya Enzo na haijulikani atarudi lini?
Tuna kazi kubwa ya kupambania top 4, tunaingia pia kwenye ngwe ngumu ya UECL, tuna FA na Caiocedo kachoka. Tunabaki na akina KDH huku viungo wazuri akina Lesley na Andrey Santos wako mkopo na dalili ya kuwarudisha hakuna. Tumekazana kuwarudisha tu akina
  1. Aaron Anselmino - Boca Juniors
  2. Eddie Beach - Crawley Town
  3. Luke Campbell - Hendon
  4. Trevoh Chalobah - Crystal Palace🆗
  5. Ted Curd - Hampton & Richmond
  6. Gabriel Slonina - Barnsley
  7. Ronnie Stutter - Burton Albion
View attachment 3208686
Hii timu hao SD, directors na management nzima ni matakataka
 
Chelsea wako obsessed na dogodogo sijui kwa nini.
Juvetus wamewaamb ia kumsajili Doglous Luiz kwa mkopo na kipengele cha kumnunua kabisa wakakataa
Ila inapokuja kwa dogodogo wa Sotonn, Tyler Dibling mwenye umri wa miaka 18, wamekazana kumfukuzia.
1737557432865.png
 
Hii ndio tafsiri ya kwenda na kiji9ji9 kizima
Sancho anakabwa nba wachezaji 6
1737579431277.png
 
Back
Top Bottom