Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unajiskia raha kuja kutukana huku eh!Kenge kabisa
🤣🤣🤣We jamaa kwenye disco la reggae unacheza Sebene.
🤣🤣🤣Tuendelee kushinda mechi ili tufanye vizuri kwenye mauzo ya wachezaji wetu dirisha kubwa.
🤣🤣Biashara inakwenda vizuri. Faida inaonekana. Hao walioenda kwa mkopo dirisha lijalo la usajili tutawauza permanent.
Next:- Madueke, Neto, Sancho, Sanchez, Fofona, James, KDH, Nkunku, Tosin, Badiashile
Tutanunua makinda 28 wa kureplace hao.
Dogo ana uchezaji km wa lavia naimani atapata dakika kadhaa kwenye vigemu vya FA na conference cupChelsea na St Etienne wanakaribia kumsajili kiungo wa miaka 19 Mathis Amougou huku mkataba ukikamilishwa.
Ada ni karibu €15m, maelezo ya mwisho yanashughulikiwa.
x.com
x.com
@FabrizioRomano
View attachment 3223726
Uwekezaji mzuri baada ya msimu mmoja hatukosi £30M sokoniDogo ana uchezaji km wa lavia naimani atapata dakika kadhaa kwenye vigemu vya FA na conference cup
Jackson dirisha kubwa la usajili hatukosi £60M.Shuti la Isack dhidi ya Arsenal liligonga mwamba ilikuwa kupitia mguu wake dhaifu
Ukija kwa Jackson mguu dhaifu una kazi ya kumsaidia anapoanguka asitangulize komwe
Sasa PSG walete £150M Kwa caicedo.Moisés Caicedo amekamilisha pasi nyingi kwenda kwenye eneo la wapinzani kuliko mchezaji mwingine yeyote kwenye Ligi Kuu ya Uingereza msimu huu (157).
Upigaji pasi wake unaonyesha maendeleo bora. Kiungo kamili kama huyo anaweza kupasi,, kukabiliana na adui, kushinda kuwania mipira ya juu na chini.
Hakuna mtu anayezungumzia bei yake sasa kwa sababu anastahili kila senti. Na pia mchanga bado.
Huwezi tumia pesa nyingi kwa wachezaji anayetumia muda mwingi hospitalini kuliko uwanjani.
View attachment 3227019
Isak anatumia miguu yote iko kamiliShuti la Isack dhidi ya Arsenal liligonga mwamba ilikuwa kupitia mguu wake dhaifu
Ukija kwa Jackson mguu dhaifu una kazi ya kumsaidia anapoanguka asitangulize komwe
Waarabu walete - £40M
Sio kosa lake ila huyu jamaa na fofana wanatia hasira.