Franky Samuel
JF-Expert Member
- Oct 10, 2018
- 5,195
- 13,785
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acheni kudanganyana hakuna kiungo humoMoisés Caicedo amekamilisha pasi nyingi kwenda kwenye eneo la wapinzani kuliko mchezaji mwingine yeyote kwenye Ligi Kuu ya Uingereza msimu huu (157).
Upigaji pasi wake unaonyesha maendeleo bora. Kiungo kamili kama huyo anaweza kupasi,, kukabiliana na adui, kushinda kuwania mipira ya juu na chini.
Hakuna mtu anayezungumzia bei yake sasa kwa sababu anastahili kila senti. Na pia mchanga bado.
Huwezi tumia pesa nyingi kwa wachezaji anayetumia muda mwingi hospitalini kuliko uwanjani.
View attachment 3227019
Kwa sababu anaye drive timu caicedo yupo slow lazima timu itakuwa slowYani chelsea ilikuwa ikiwa na mpira ipo slow sana kama yenyewe ndo inaongoza yani
Caicedo jana kacheza mpira mkubwa sana, kuna majinga mengi chelsea yanajivuta vuta tu yaniKwa sababu anaye drive timu caicedo yupo slow lazima timu itakuwa slow
Yote yapo sokoni, dirisha kubwa la usajili tunauza yote tunasajili kikosi kipya. Pamoja na kocha tutamuuza £10M, Sporting Directors £1MCaicedo jana kacheza mpira mkubwa sana, kuna majinga mengi chelsea yanajivuta vuta tu yani
Duh kwa hiyo tupo kwa ajili ya kukuza wachezaji na kuuza sio!!!?Yote yapo sokoni, dirisha kubwa la usajili tunauza yote tunasajili kikosi kipya. Pamoja na kocha tutamuuza £10M, Sporting Directors £1M
Kazi ipo itafikia mda mechi Chelsea sitaacha usingizi wangu kwenda kiangaliaTupo kibiashara mpaka turudishe ile £1B tuliyopata hasara kusajili malapulapu.
Kocha nae ana upuuzi wake, timu inacheza kama wamevimbiwa maharage, mipasiii miingi ya nyuma. mbona mwanzoni walikua wanacheza freshi tu through ball zilikua zinapigwa.Hii team kwa sasa Tatizo kubwa liko kwenye uongozi
Sporting Directors na Wamiliki hawa ndio tatizo sasa
Huwez tumia zaidi ya 1BN hakaf team inaonekana inamapungufu kila mahal
Hata aje kocha gani ikiwa SD au Wamiliki ni hawa hawa basi hapo ndio mwishk wety
Kwa mambo yanavyokwenda, huyo palmer na caicedo watauzwa sio juu ya 50MPoleni kwa mliopoteza usingizi kuangalia malapulapu.
Timu yetu sio ya ushindani tena uwanjani bali ni ya ushindani kibiashara kununua na kuuza wachezaji.
Neto - £50M
Nkunku - £60M
Palmer - £180M
Caicedo - £150M
Enzo - £80M
Madueke - £50M
Jackson - £60M
Sancho - £30M
Tusajili makinda 28 kureplace hao.