Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Wagawa utamu wa london
 

Attachments

  • 20250209_014848.jpg
    20250209_014848.jpg
    56.7 KB · Views: 4
Narudia tena tafuteni kiungo wa kueleweka. Caicedo ni garasa mtafungwa sana mpaka siku mtakapo kubali. Tafuteni kiungo wa kueleweka caicedo hamna kitu
 
Moisés Caicedo amekamilisha pasi nyingi kwenda kwenye eneo la wapinzani kuliko mchezaji mwingine yeyote kwenye Ligi Kuu ya Uingereza msimu huu (157).

Upigaji pasi wake unaonyesha maendeleo bora. Kiungo kamili kama huyo anaweza kupasi,, kukabiliana na adui, kushinda kuwania mipira ya juu na chini.

Hakuna mtu anayezungumzia bei yake sasa kwa sababu anastahili kila senti. Na pia mchanga bado.

Huwezi tumia pesa nyingi kwa wachezaji anayetumia muda mwingi hospitalini kuliko uwanjani.
View attachment 3227019
Acheni kudanganyana hakuna kiungo humo
 
Mchezo wa jana ulihusu zaidi game plan na sio mchezaji mmoja mmoja. Ikiwa gamepaln jana ni kupress na wachezaji kukim,bia ili kutengeneza nafasi badala ya kusimama kama milingoti, Chelsea wangeweza kushinda kwa uraisi lakini wote hawakufanya hivyo kama vile kocha aliwapa maelekezo tofauti. Hakukuwa na kukimbia wala kushinikiza ila walisub iri Brighton wapange na kutekeleza mpango wao wa mchezo.
 
Hii team kwa sasa Tatizo kubwa liko kwenye uongozi
Sporting Directors na Wamiliki hawa ndio tatizo sasa

Huwez tumia zaidi ya 1BN hakaf team inaonekana inamapungufu kila mahal

Hata aje kocha gani ikiwa SD au Wamiliki ni hawa hawa basi hapo ndio mwishk wety
 
Hii team kwa sasa Tatizo kubwa liko kwenye uongozi
Sporting Directors na Wamiliki hawa ndio tatizo sasa

Huwez tumia zaidi ya 1BN hakaf team inaonekana inamapungufu kila mahal

Hata aje kocha gani ikiwa SD au Wamiliki ni hawa hawa basi hapo ndio mwishk wety
Kocha nae ana upuuzi wake, timu inacheza kama wamevimbiwa maharage, mipasiii miingi ya nyuma. mbona mwanzoni walikua wanacheza freshi tu through ball zilikua zinapigwa.
 
Poleni kwa mliopoteza usingizi kuangalia malapulapu.

Timu yetu sio ya ushindani tena uwanjani bali ni ya ushindani kibiashara kununua na kuuza wachezaji.

Neto - £50M
Nkunku - £60M
Palmer - £180M
Caicedo - £150M
Enzo - £80M
Madueke - £50M
Jackson - £60M
Sancho - £30M

Tusajili makinda 28 kureplace hao.
Kwa mambo yanavyokwenda, huyo palmer na caicedo watauzwa sio juu ya 50M
 
Back
Top Bottom