Chelsea mabingwa wapya UEFA 2020/2021

Chelsea mabingwa wapya UEFA 2020/2021

Swali zuri sana;

Wamepewa ubingwa na Guardiola, unajisifu vipi kumtoa Atletico Madrid na Real Madrid ya wazee na Man City iliyopanga kikosi dhaifu.

Mpira wa kileo kutopanga kiungo mkabaji ni sawa na kulala mlango wazi usiku.

Guardiola kawapa zawadi kubwa sana, mumjengee sanamu pale nje Stamford Bridge.
Mwaka huu Chelsea itakufanya uokote makopo. Pole sana. Naona dish limeshakaa tenge sana! Vumilia tu hivyo ndivyo soka lilivyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Swali zuri sana;

Wamepewa ubingwa na Guardiola, unajisifu vipi kumtoa Atletico Madrid na Real Madrid ya wazee na Man City iliyopanga kikosi dhaifu.

Mpira wa kileo kutopanga kiungo mkabaji ni sawa na kulala mlango wazi usiku.

Guardiola kawapa zawadi kubwa sana, mumjengee sanamu pale nje Stamford Bridge.
😛😵
 
Back
Top Bottom