FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
- Thread starter
- #21
UmekosaMaji yamepungua kwa 91%
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UmekosaMaji yamepungua kwa 91%
Amekosa huyo![emoji818]
Kama Tanzania inazalisha umeme kwa 65% gesi na kwa 35% maji, hivyo jumla ni 100%.
Na ghalfla Tanesco akasema uzalishaji umeme umepungua kwa 21% kutokana na kupungua kwa kiwango cha maji;
Je, maji kwenye mabwawa yamepungua kwa asilimia ngapi? Nitatoa jibu baadae kidogo
TANESCO
bila kuwa na total volume ya maji iliokuepo. it is a waste of time and mindKama Tanzania inazalisha umeme kwa 65% gesi na kwa 35% maji, hivyo jumla ni 100%.
Na ghalfla Tanesco akasema uzalishaji umeme umepungua kwa 21% kutokana na kupungua kwa kiwango cha maji;
Je, maji kwenye mabwawa yamepungua kwa asilimia ngapi? Nitatoa jibu baadae kidogo
TANESCO
Kupungua kwa level ya maji ndio kunakoathiri uzalishaji, sio quantity (volume) ya maji, maji hata yawe mengi vipi (mfano bahari, ni mengi ila at lower level) , kama hayajafikia level husika huwezi kuzalisha hata Megawatt moja ya umeme. Hence %ntage ya kupungua kwa umeme unaozalishwa una akisi moja kwa moja %ntage ya kupungua kwa nguvu ya msukumo wa maji /level ya majibila kuwa na total volume ya maji iliokuepo. it is a waste of time and mind
Umekosa!
Assume factors zote ni constant, na uzalishaji wa umeme una akisi moja kwa moja kiwango cha msukumo/ level ya majiType of turbine ???? Francis or pelton wheel etc. Power equation of turbine ie relation of output power to water pressure(head). Given power reduction calculate pressure drop in metres. Easy does it.
UmekosaYamepungua kwa 1%
1.5 trillion
1.5 trillion
😂😂1.5 trillion
1.5 trillion