lee Vladimir cleef
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 9,571
- 35,475
Salaam
Naleta mada hii kama chemsha bongo. Huwa natafakari Sana.
Je kama Baba napenda mwanangu wa pekee wa kike mwenye umri Kati ya miaka minane na kumi nambili, napenda kwenda nae safari ya mbali kwa sababu mbalimbali ukiwa ni pamoja na holiday tu.
Napenda kusafiri na mwanangu, pengine kwenda nae mikoa yenye utalii, kutazama vivutio vya utalii kama wanyama na kadhalika. Safari ambayo itatufanya tulale nyumba ya wageni ama hotelini. Tufanye uwezo wa kulala hoteli ninao.
Je ni sahihi baba kusafiri na mtoto wa kike?
Chemsha bongo ndugu zangu.
Naleta mada hii kama chemsha bongo. Huwa natafakari Sana.
Je kama Baba napenda mwanangu wa pekee wa kike mwenye umri Kati ya miaka minane na kumi nambili, napenda kwenda nae safari ya mbali kwa sababu mbalimbali ukiwa ni pamoja na holiday tu.
Napenda kusafiri na mwanangu, pengine kwenda nae mikoa yenye utalii, kutazama vivutio vya utalii kama wanyama na kadhalika. Safari ambayo itatufanya tulale nyumba ya wageni ama hotelini. Tufanye uwezo wa kulala hoteli ninao.
- Sasa huwa najiuliza je ikifika muda wa kulala itakuaje?
- Je utachukua vyumba viwili kimoja changu na kimoja Cha mtoto?
- Au utachukua chumba kimoja chenye vitanda viwili?
- Au utachukua chumba kimoja na kulala na mwanao kitanda kimoja?
Je ni sahihi baba kusafiri na mtoto wa kike?
Chemsha bongo ndugu zangu.