JF jamani kuna watu wa marika yote ni muhim basi kutumia lugha fasaha badala ya alama za ajabuajabu kulikuwa na haja gani ya kutumia hizo alama kufupisha post au ni ku-save muda au herufi s haipo kwenye iyo nanii yako .....naomba jamani kwa nia njema tu....hii sio facebook.....au kama vipi mode aanzisha majukwaa maalumu kwa lugha kama hizi...ni angalizo tuwe inaonesha hata bam 2 hukuxoma!!wanahexebu huwa ha2complicate lugha!!xo gpange bc
safi kijana hapa kila mtu atakuelewa sio ile staili ya x badala ya sMkubwa inaonekana wewe sio expert in mathematics, hiyo ni basic mathematics ya primary mkuu,
ngoja niiweke simple unielewe japokua kwa mtu alie maliza form 4 ni jambo la aibu kutoelewa hili(USINICHUKULIE VIBAYA NDIO UKWELI HUO)
umesrma deni jumla ni 9,800 na wewe una 100(iliyo baki) hapo ukijumlisha hiyo 9,800 lazina iwe negative kwa sababu ni deni so itakua hivi
-9,800+100=-9,700 na sio 9,900
nacho taka kusema ni kwamba hapo ndipo ulipo changanyia mambo.
I hope umenielewa
Mkubwa inaonekana wewe sio expert in mathematics, hiyo ni basic mathematics ya primary mkuu,
ngoja niiweke simple unielewe japokua kwa mtu alie maliza form 4 ni jambo la aibu kutoelewa hili(USINICHUKULIE VIBAYA NDIO UKWELI HUO)
umesrma deni jumla ni 9,800 na wewe una 100(iliyo baki) hapo ukijumlisha hiyo 9,800 lazina iwe negative kwa sababu ni deni so itakua hivi
-9,800+100=-9,700 na sio 9,900
nacho taka kusema ni kwamba hapo ndipo ulipo changanyia mambo.
I hope umenielewa
mkuu unabishana na aliyesoma BAM advance naye anataka kuonesha kua anajua math.
usijumlishe deni unalo daiwa na pesa uliyo nayo, hapo kwa sasa unadaiwa 9,800 hata uki pata 10,000 ukitoa 9,800 utabakiwa na 200 ukijumlisha na 100 uliyo nayo itakua 300 ambayo ndio uliyo punguziwa,
narudia tena usijumlishe deni unalo daiwa(-) na pesa uliyo nayo(-) hilo ni kosa kubwa sana kimahesabu.
kaka maelezo mazuri ila hapo kwenye bold nadhani ilipaswa kuwa "pesa uliyo nayo (+) na sio (-)" otherwise umesomeka ipasavyo.
thanks mkuu, sasahivi inasomeka ipasavyo.
Hkuna hela iliyopotea,hapo ni suala la assets na liability,deni ni liability na hiyo pesa nyingine ni assets,huwezi kuchanganya asset na liability ukapata jawabu.ka swali kanachangaja
ila in accounting view hiyo inaitwa trade discount
itakuwa imepotelea kwa aliyekuuzia
dr.discount allowed
dr.bank/cash
cr.account receivable
kama nimekosea niambieni maana nilisha sahau kufunga vitabu!siku hizi tuna sign cheque tu
naomba aje mwingine na mathematics view!
sijakupata ndugu yangu dadavua vizuri!,Hkuna hela iliyopotea,hapo ni suala la assets na liability,deni ni liability na hiyo pesa nyingine ni assets,huwezi kuchanganya asset na liability ukapata jawabu.
sijakupata ndugu yangu dadavua vizuri!
siunajua hesabu imepita kushoto