Chemsha bongo: Thibitisha hapa kuwa wewe una vyeti orijino

D.

1. 8000/= ya change uliompa mteja

2. 2000/= ya thamani ya mkate uliomuuzia mteja

3. 10000/= uliomrudishia jirani baada ya kubaini ulimpa hela fake wakati wa kutafuta change.
 
Jibu elfu 18.mnunuzi kaondoka tu na elfu 8. Thamani ya mkate aliouchukua usiihesabie kwa sababu tayari mwuzaji ameishakata elfu 2 zake na anazo mfukoni mwake. Sasa jumlishia elfu kumi alizotoa tena kwa jirani jumla ni elfu 18
 
Umejibu kwa mbwembwe halafu utumbo mtupu

Tapeli umempa 8000 muuza duka umempa 10000 orijino sio feki kama ulopewa mkate nao bei ni 2000....yan hapo kwa maana nyingine umelipa deni uloachiwa na mteja LA hela feki pia umemuongezea cha juu

Jumla utakua umepigwa 20000/= bila huruma
 
Hasara roho! Pesa makaratasi
Waliofeli hisabati utawajua tu [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
"Vita dhidi ya madawa ya kulevya hajawahi kumuacha mtu salama"

Hili ndiyo jawabu langu.
 
Waliofeli hisabati utawajua tu [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
[emoji15] [emoji15] [emoji144] [emoji23]
 
BuziTata kwenye hiyo elfu 20000 toa 2000 ambazo mwenye duka alibaki nayo kwenye ile 10000 alyoichukua kwa jirani maana alimpa yule tapeli sh. Elfu nane tu, na yeye akabaki na hiyo 2 000.hivyo hasara ni sh. 18000
 
8000+2000+10000=20000
 
jibu ni C- Hasara (8000 plus Mkate wa 2000)
 
Hasara ulipata ni sh 8000/= na mkate wa 2000/= jumla 10000/=
 
Mwalimu toa Jibu na usahihishe---Ila Jibu ya hasara ni 10000
 
Wewe ndio bashite,
Mtu katapeliwa kwa kupewa elfu kumi feki,
Baada ya kumrudishia pesa jirani yake sh alfu kumi kutoka kwenye mtaji wake,
Ukijumlisha elfu mbili ya mkate na chenji ya sh elfu nane unapata sh elfu ishirini,

Rudi shule
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…