Chemsha Bongo

Chemsha Bongo

Nishajibu ni. three time three is equal to nine
Maana hapo angalia sequence ya hizo num
Hiyo sequence unaitoa wapi? Wewe si umeshaonyeshwa? 3 umeambiwa =?
Na ni kitu hakipo. Unaumiza kichwa kutafuta nini?
Mfano 7=42. Hili linaingia akilini kweli? Na wewe unaunga mkono kilaza
 

Attachments

  • 1700765599066.jpeg
    1700765599066.jpeg
    26.8 KB · Views: 1
Hiyo sequence unaitoa wapi? Wewe si umeshaonyeshwa? 3 umeambiwa =?
Na ni kitu hakipo. Unaumiza kichwa kutafuta nini?
Mfano 7=42. Hili linaingia akilini kweli? Na wewe unaunga mkono kilaza
Jibu wewe
 
🤣🤣🤣🤣Bwana weeee hesabu kwioo
Khah! We vipi lakini! Toka umeanza shule,sijui uliishia dalasa la ngapi. Huo ujinga uliwahi uona? 7 na 42 ni sawa? Kweli?

Sasa kama vitu unavyoviona vinakushinda,una mpango gani!!! Ama kweli.

Bora tujilie tu matunda kimasihara.
 
Hiyo sequence unaitoa wapi? Wewe si umeshaonyeshwa? 3 umeambiwa =?
Na ni kitu hakipo. Unaumiza kichwa kutafuta nini?
Mfano 7=42. Hili linaingia akilini kweli? Na wewe unaunga mkono kilaza
Kula chuma hiko, hapa kwa akili zinazochaji, sio za kukariri 😂
1700771276222.png
 
Watu munajua mahisabati mavitu magumu duuuuu
Wanajua nini? Wajinga tuuu. Hapo kuna nini? Si bora wa x+y=1!!!! Mtu kasema 3=?.
Hapo hapo anawauliza 3 thamani yake ni ipi. Na wenyewe wanahaha kutafuta jibu,huku wanalo. Anaewaomba jibu,ameshalitoa,na wao wanahaha kutafuta! Toka lini alama na tarakimu vikawa sawa? Toka lini 7 na 42 vikawa sawa? Vilaza tuuu. Bora wakavue ijulikane.
 
Wanajua nini? Wajinga tuuu. Hapo kuna nini? Si bora wa x+y=1!!!! Mtu kasema 3=?.
Hapo hapo anawauliza 3 thamani yake ni ipi. Na wenyewe wanahaha kutafuta jibu,huku wanalo. Anaewaomba jibu,ameshalitoa,na wao wanahaha kutafuta! Toka lini alama na tarakimu vikawa sawa? Toka lini 7 na 42 vikawa sawa? Vilaza tuuu. Bora wakavue ijulikane.
Mm jibu langu 12 vp na mm kilaza niende nikaungane nao mkuu 😂?
 
Ni kawaida dunia wawepo watu kama nyinyi, hii ina balance masha ya binadamu...
Kuna wale wanafanya vitu vitokee, huwa hawana akili ya za kuvukia barabara tu,
Sawa,ila ukweli ndo huo. Toka lini 7 na 42 zikawa sawa?
Toka lini alama na tarakimu vikawa sawa? Unataka kunivuruga wewe naona! Tena wewe dogooo. Acha kabisa. Acha nakwambia mimi!!! Nikuitie GENTAMYCINE ???🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom