Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 20,921
- 49,014
Hii formula SijaelewaMimi nilifanya hivi...
7=42 (42-12=30)
6=30 (30-10)=20
5=20 (20-8=12)
4=(12-6)
3=6
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii formula SijaelewaMimi nilifanya hivi...
7=42 (42-12=30)
6=30 (30-10)=20
5=20 (20-8=12)
4=(12-6)
3=6
We kwanza angalia. Hilo ni jibu. Sasa check chemsha bongo yenyewe ilivyoHii formula Sijaelewa
Na wewe ni wale wale tu. Hizo ada bora wazazi wenu wangenunua mbuzi wakafuga.Jibu hapo ni 3*3=9
Nishajibu ni. three time three is equal to nineWe kwanza angalia. Hilo ni jibu. Sasa check chemsha bongo yenyewe ilivyo
Hiyo sequence unaitoa wapi? Wewe si umeshaonyeshwa? 3 umeambiwa =?Nishajibu ni. three time three is equal to nine
Maana hapo angalia sequence ya hizo num
🤣🤣🤣🤣Bwana weeee hesabu kwiooNa wewe ni wale wale tu. Hizo ada bora wazazi wenu wangenunua mbuzi wakafuga.
3=? Jibu lake ni 3*3=9
Jibu weweHiyo sequence unaitoa wapi? Wewe si umeshaonyeshwa? 3 umeambiwa =?
Na ni kitu hakipo. Unaumiza kichwa kutafuta nini?
Mfano 7=42. Hili linaingia akilini kweli? Na wewe unaunga mkono kilaza
Khah! We vipi lakini! Toka umeanza shule,sijui uliishia dalasa la ngapi. Huo ujinga uliwahi uona? 7 na 42 ni sawa? Kweli?🤣🤣🤣🤣Bwana weeee hesabu kwioo
Nijibu kitu ambacho hakipo? Akalejee hesabu zake. Mbuzi hawezi kuwa simba. Haya, bora kawadanganya za mwanzoni talakimu na talakimu. Ya mwisho ni sawa na alama!? Af mkakubali?Jibu wewe
Na wewe kilaza tu. Toka jukwaani kakae pale uangalie. Ukipatia urudi hapa. Ushaambiwa 3=?. Hiyo 6 inatoka wapi? Aliyeandika mjinga?
Kula chuma hiko, hapa kwa akili zinazochaji, sio za kukariri 😂Hiyo sequence unaitoa wapi? Wewe si umeshaonyeshwa? 3 umeambiwa =?
Na ni kitu hakipo. Unaumiza kichwa kutafuta nini?
Mfano 7=42. Hili linaingia akilini kweli? Na wewe unaunga mkono kilaza
Hivi wewe,uliwahi kupigwa na mtu asie baba yako?Kula chuma hiko, hapa kwa akili zinazochaji, sio za kukariri 😂
View attachment 2822748
Acha zilaleeee,alaaa!!! Zikiamka hizoooo bora nikale matunda kimasihala kuliko kukalia huu ujinga
Wanajua nini? Wajinga tuuu. Hapo kuna nini? Si bora wa x+y=1!!!! Mtu kasema 3=?.Watu munajua mahisabati mavitu magumu duuuuu
Mm jibu langu 12 vp na mm kilaza niende nikaungane nao mkuu 😂?Wanajua nini? Wajinga tuuu. Hapo kuna nini? Si bora wa x+y=1!!!! Mtu kasema 3=?.
Hapo hapo anawauliza 3 thamani yake ni ipi. Na wenyewe wanahaha kutafuta jibu,huku wanalo. Anaewaomba jibu,ameshalitoa,na wao wanahaha kutafuta! Toka lini alama na tarakimu vikawa sawa? Toka lini 7 na 42 vikawa sawa? Vilaza tuuu. Bora wakavue ijulikane.
Sawa,ila ukweli ndo huo. Toka lini 7 na 42 zikawa sawa?Ni kawaida dunia wawepo watu kama nyinyi, hii ina balance masha ya binadamu...
Kuna wale wanafanya vitu vitokee, huwa hawana akili ya za kuvukia barabara tu,