- Ahsante Mkuu kwa hii habari, naona ndio basi tena shughuli hii imeisha Mungu Aibariki Tanzania.
William.
Chenge kaachiwa kwa dhamana na ameondoka ndani ya gari aina ya Toyota Harrier namba T193 AYL.
Taarifa za kipolisi zinasema mwenye Bajaj ndiye alikuwa na makosa na huenda ndiyo sababu iliyopelekea yeye kukimbia (anageuziwa kibao?)
Kuna walinzi waliokuwa eneo la tukio, huenda hawa wakatoa msaada wa hali halisi. Walinzi hao wanasema kwamba, dereva wa Bajaj alipona gari la Chenge linamfuata upande wake akalikwepa na kuruka ndipo kina dada wa watu waliokuwa wakitokea Club Maisha wakajikuta hawana msaada na kugongwa wakiwa pekee bila dereva. Kwa kuwa dereva hajulikani alipo, kila kitu kitamuelemea yeye na huenda akionekana ataambulia vijisenti akanunue Bajaj zake kadhaa (asiajiriwe tena).
Kuna habari kwamba kina dada hao wanatokea mkoani Mwanza na leo walikuwa waelekee Zanzibar kwa ndege kufanya shopping kabla ya kurejea kwao, mmoja akitajwa kuwa Bi harusi mtarajiwa
Kwa hiyo at least ataonja Keko? Naona faraja.
Lakini ilikuwa saa 10 usikumkulu,umesahau kwamba bongo kuna instant MOB JUSTICE
ungetakiwa ufanye utafiti na ujue namba za bajaj ni zipi,alafu nenda pale TRA wakupe jina la mwenye usafiri huo then atafutwe na aeleze jina la dereva wake..
Hatua itakayotakiwa kufuatwa ni polisi kuanza kumsaka dereva,na kwa kuwa serikali ina mkono mrefu itampata.
JF Imeingiliwa na spin master wengi,na asilimia kubwa wanakurupuka bila kuleta hoja kwanza.
Tumekimbilia kumsema chenge tu kwa kutumia hisia kuwa ni fisadi bila kuangalia uhalisia na ukweli wa tukio lenyewe,inatia shaka kwa watu wengi kujadili mambo bila ya kuwa na data zozote!
Tumeanza hadi kufikia kuhisi haki haiwezi kutendeka,tumejenga tabia ya kutoaminiana,tunaogopana na kusemana,tumekuwa wepesi wa kufitini ,tusio na upole wa kunyamaa..what if dereva wa bajaj ndiyo mwenye makosa?au kwa kuwa hana mali?tumekuwa na tabia ya kubaguana.
Invisible , ungetakiwa ufanye utafiti na ujue namba za bajaj ni zipi,alafu nenda pale TRA wakupe jina la mwenye usafiri huo then atafutwe na aeleze jina la dereva wake..
Hatua itakayotakiwa kufuatwa ni polisi kuanza kumsaka dereva,na kwa kuwa serikali ina mkono mrefu itampata.
Mie naamini hata yule dereva wa mama mbatia anaweza kupatikana..
Lets stop being speculators,na mwalimu wenu namuonya aache kuwafundisha hadithi!
Mkuu wangu Jasusi,
Usione faraja mtu mwingine anapopata matatizo hata kama ni adui yako. Muhimu tu ni kuomba mkono wa sheria ufuate mkondo wake.
FMES,Mkulu wangu Gembe, heshima mbele sana,
- Baaada ya kuambiwa kwamba Chenge alikuwa anatafuta kitichake bungeni saaa tisa za usiku, tena kimwagia unga unga kwenye viti anavyofunua ni haki yetu wananchi ku-speculate anything kinachomhusu, kwa sababu hatumuamini tena,
- Ingawa bado una hoja nzito lakini ya kumhusu chenge ni fair game ku-speculate.
Respect!
FMEs!
Mbingu ni zako ee bwana, na nchi yako ndiye uliyeumba kila kitu kilichomo, binadamu na kile kinachoonekana na kisichoonekana!
Mbingu ni zako ee bwana, na nchi yako ndiye uliyeumba kila kitu kilichomo, binadamu na kile kinachoonekana na kisichoonekana!
una maana hata sisi hapa ni Mandondocha?Uwaokoe watanzania walio mandondocha,wape ujasiri wa kujua uovu wa viongozi,
Eeh baba naomba uwape kichaa wale wote wenye tamaa ya ufisadi,
Mungu baba uliye na nguvu na mamlaka.,tuepushe na Rais huyu kwa kuwa anatupeleka kubaya
Yehova el shalai,tuna watu wanajiona watatu watakakitu,waondoshe mbali kwa kuwa wamejaa uovu
Bab,Namuombea Mzee mwanakijiji,mpe nguvu na hekima,ujasiri na upeo,mepushe na wana wa mafisadi.
Kristo uliye mfalme ibariki jamiiforums,iwe mfano,iwe na wajenga hoja,iepushe na laana ya tabia ya kibaguzi.
Siku zote umekuwa mwema na kunijibu maombi yangu,na sasa naomba utende ikupasavyo na kwa maoni yangu
Naomba haya yote,mimi Gembe mwenye upeo zaidi ya walevi wa madaraka..kwa jina la yesu.Amen