Uwaokoe watanzania walio mandondocha,wape ujasiri wa kujua uovu wa viongozi,
Eeh baba naomba uwape kichaa wale wote wenye tamaa ya ufisadi,
Mungu baba uliye na nguvu na mamlaka.,tuepushe na Rais huyu kwa kuwa anatupeleka kubaya
Yehova el shalai,tuna watu wanajiona watatu watakakitu,waondoshe mbali kwa kuwa wamejaa uovu
Bab,Namuombea Mzee mwanakijiji,mpe nguvu na hekima,ujasiri na upeo,mepushe na wana wa mafisadi.
Kristo uliye mfalme ibariki jamiiforums,iwe mfano,iwe na wajenga hoja,iepushe na laana ya tabia ya kibaguzi.
Siku zote umekuwa mwema na kunijibu maombi yangu,na sasa naomba utende ikupasavyo na kwa maoni yangu
Naomba haya yote,mimi Gembe mwenye upeo zaidi ya walevi wa madaraka..kwa jina la yesu.Amen