Chepuka kwa akili...

Mwanaume anaweza kuchepuka asubuh, jion akarudi na zawad nono kwa mke wake na tabasamu mwanana kabisa.

Lakin mwanamke akichepuka asubuh ata mchana hawez kuitikia salam yako, kila kitu kinageuka waruwaru ndani kwako.

Umenena ukwel mtupu dada yangu.

Usiombe siku mkeo ana appointment na mchepuko wake [emoji23][emoji23]
 

Hiyo ndo michepuko siyo mchepuko unawaza papuchi tu

Mxieeeeeeeew
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…