Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Kwa hiyo umekuja kunisema huku.... Nitaacha kukupa utamu wa dunia shauri yako
Umeadimika boss kubwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo umekuja kunisema huku.... Nitaacha kukupa utamu wa dunia shauri yako
Unatafuta mchumba?Evelyn Salt umeolewa ?
Haya maneno kuntu kweli.
Mwanaume anaweza kuchepuka asubuh, jion akarudi na zawad nono kwa mke wake na tabasamu mwanana kabisa.
Lakin mwanamke akichepuka asubuh ata mchana hawez kuitikia salam yako, kila kitu kinageuka waruwaru ndani kwako.
Umenena ukwel mtupu dada yangu.
Ukoje lakini 😂 😂 😂 😂 😂 😂Usiombe siku mkeo ana appointment na mchepuko wake [emoji23][emoji23]
Nimesubscribe kbs .leo mapovu yahapa sijui yaan..Eve ww unanichekshaga sana .hhahahaha!
Kuna kipindi inatokea biashara, bajeti na ada za watoto mnapanga na mchepuko..[emoji28][emoji28]!..ukitaka kuhama nyumba mchepuko anakutaftia dalali unazunguka na dalali[emoji28]..ukitaka ununue usafiri unamhusisha mchepuko kuliko mume[emoji28]...Kwakweli Mbingu tutaiskia tu !Mungu atusamehe
hatari san (In shekh Kipoozeo voice)
Na k ukanyimwa anatunziwa bwana mkunaji hahahaha (mbinguni tutapasikia tu)
Ukoje lakini [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
😂 😂 😂 hebu kausha bana utafanya tubakweYaani mtu anatafuta kauogomvi ili asiguswe akienda kwa mcheps awe. Na nyege kama zote[emoji23][emoji23][emoji23]
Hahaha Horne hebu tuliaMchepuko anakwambia babe leo mbanie kesho nije kukusugua vizuri[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] hebu kausha bana utafanya tubakwe
Unatafuta mchumba?
Sometimes nimeolewa sometimes sijaolewa yani inategemea na anaeniuliza hilo swali 😂 😂 😂 😂Play dumb for once Evelyn Salt, you are spoiling the fun [emoji3][emoji3][emoji3]
Sometimes nimeolewa sometimes sijaolewa yani inategemea na anaeniuliza hilo swali [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Oa, tena usinisahau kadi nije kucheza kwaitoMkuu mbona unatukatisha wenzio tamaa ya kuoa
Jitahidi uoe kwanza kisha ndio useme namna hii