Chepuka kwa akili...

Mwanamke akisha chepuka tambua huyo siyo mkeo tena,Huu ndo ukweli mchungu.
 
Ishu Ni kwamba kumpata mtu sahihi ndi sababu ya kuchepuka

Unajua tunawaza vitu ving sana katika mahusiano ukishaingia ndani unakuta hapo figisu figisu zinaanza na ukimpata mtu sahihi kwako hapo ndio kwisha habar kabisa
 
...kinachoshangaza zaidi ni kuwa utakuta huo mchepuko wake ni Mume wa mwanamke mwenzie! Kwa hiyo anaharibu kwake na anaharibu kwa mwanamke mwenziwe! Sad
Kwanini huwa mnachepuka na wake za wanaume wenzenu? Nyie si ndio huwa mnasema wanaume mnapendana jamani[emoji134][emoji134][emoji134]
 
Unanipa taabu na hii comment yako .dah..ningekuwa men hii comment ningedisa[emoji847][emoji847]...imeupooza ubongo wangu ghafla vin pu...!ujue niko far lakini hornrt ww...arghhh
[emoji85][emoji85][emoji85][emoji85][emoji85]
 
Hiyo ndo michepuko siyo mchepuko unawaza papuchi tu

Mxieeeeeeeew


Hahhqhqha....pole.....unajua kuna grade zao eh...hii nnayoizubgumzia mm haioni shida kupartiner ht kibiashara...yaan ipo konky...

Kuna vile vimichepuko kimelewa jana huko weee..sijui.kilifumania wap elfu 30..bas hangover kitataka ukakinunulie supu..mara aombe azimue bia 2..chefuu...hakana hata visions..uwiii...mijichepuko ya maana bwana unampigia smu ya deal anareact fastπŸ˜…πŸ˜…πŸ‘„πŸ‘„πŸ‘„...jaman nimeandika nikiwa nna Alter wine kichwan na nimechoka balaa...sihitaj maemoji ya hiviπŸ™†πŸ™†πŸ™†πŸ™†πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„!
 

Salt kaniambia ninyamaze nauza siri ya kambi
 
Unanipa taabu na hii comment yako .dah..ningekuwa men hii comment ningedisa[emoji847][emoji847]...imeupooza ubongo wangu ghafla vin pu...!ujue niko far lakini hornrt ww...arghhh

Yaani kuna maneno ukiyaona kama ulikua umetoka kufokewa unatabasamu tu
Unajikumbatia kama mtoto
Ukiomba asubuhi ifike uende kwa suuzo la mwili wako
 
Hapo ndipo inakuwa kazi pale mchepuko anapompenda Njemba hadi kuwa tayari kubwaga manyanga kwenye ndoa yake ili awe na mchepuko kwa raha zao 24/7.
Halafu mingi sasa hivi ipo hivyo,mzee anadata kumbe mchepuko una-act tu....baada ya muda unasikia mchepuko kaolewa na ndoa yako umeshaharibu ndani....
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Yaani kuna maneno ukiyaona kama ulikua umetoka kufokewa unatabasamu tu
Unajikumbatia kama mtoto
Ukiomba asubuhi ifike uende kwa suuzo la mwili wako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…