linguistics
JF-Expert Member
- Jun 22, 2014
- 4,724
- 4,381
I love you more.. (I am a woman )I love you girl
I love you more.. (I am a woman )
Ndio tulivyoumbwa mtuelewe tu 😁Na tofauti ndio iko hapa.
Nyie mkichepuka dharau hadi ndani ya nyumba. Wakati sie tukichepuka bado heshima iko palepale
Ndio tulivyoumbwa mtuelewe tu [emoji16]
Ndio mambo yanayofanya dunia izunguke hayoHizi tafsida za kisasa huhalalisha uovu mwingi sana kuonekana ni wema.
1. Hivi mkeo/mumeo akikuaga kuwa anaenda kucheza kamari utamchukuliaje! Ila akikuambia anaenda kubet utaona ni kawaida tu.
2. Mtu wako wa karibu kabisa utamsikia anasema siku hizi hakuna ndoa bora nidange tu, vipi akitumia neno asili ya hilo utamuonaje
3. Mwanaume/mwanamke mwenye kuenzi mambo ya laana zile za enzi za nabii Lutwi, siku hizi ndio yaonekana kawaida tu tena kwa majina mbali mbali
NB:KUCHEPUKA /KUDANGA HUU NI UMALAYA AMBAO HAUNA TOFAUTI NA UMALAYA MWINGINE WOWOTE
Dunia isitubadilishe ila sisi tuibadilishe.
Binamu nna barua yako tehOh... umeeleweka
Binamu nna barua yako teh
Wenye masikio tumesikiaChepuka tu ila keep it down low..nobody has to know. Kama Kells!!
Sasa we jifanye umezama huko uanze nletea vitimbi!!!! 💪💪💪
Aaahh siyo mhimili wa duniaNdio mambo yanayofanya dunia izunguke hayo
Kuna mdau mmoja juzi aliniambia eti wanaume wanaweza kujua kuwa wanashea mwanamke na bado wakawa wanapatana na kugongeana glasi ila wanawake hatuwezi kwa kuwa hatupendani. Kwa vile sikutaka mabishano nae nikamwambia you are completely right.
Muhimili umeishika tu haya mambo ndio yanaizungushaAaahh siyo mhimili wa dunia
Teh teh teh
Mapenzi yana run dunia
Alikumbuka utamu maskini mweeeh!Mume na mke walikaa sebuleni wanaangalia muvi,ghafla simu ya mke ikaita ujumbe ,kufungua anakuta msg kutoka kwa mchepuko wake "kuanzia Leo mi na wewe basi!!"
Mke michozi ikaanza kummwagika.mume anashangaa kulikoni,kuna msiba?
Mke:hapana Mme wangu,ni shangazi ananfundisha kupika pilau
Mume:asa ndo unatoka machozi
Mke: tupo hatua ya kukatakata vitunguu!!
Chezea kibuti!!
Mawazo yako yahitajika akiiLeo naomba nisome comments tuu jamani!