Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwenzao juzi kajichoma moto, kuongea rahisi ila kiuhalisia mtihani.Haha tusingekuwa tunaona matukio ya kuchomana visu na kulawitiana
Sio kweli, nafikiri huwa hamnotice mabadiliko kwasababu nyie ni watenda.Na tofauti ndio iko hapa.
Nyie mkichepuka dharau hadi ndani ya nyumba. Wakati sie tukichepuka bado heshima iko palepale
Mimi zaidi ya kubembelezwa sihitaji kingine kwa mchepuko aki.... Yaani nimdekee tuu anibembelezeeHii inadhihirisha namna ambavyo mkutanapo kunako faragha huwa kunanoga akii
EwaaaaaNi ile siku nitakapotedi
Hahahaha povu la hela yote.....Nimesubscribe kbs .leo mapovu yahapa sijui yaan..Eve ww unanichekshaga sana .hhahahaha!
Kuna kipindi inatokea biashara, bajeti na ada za watoto mnapanga na mchepuko..😅😅!..ukitaka kuhama nyumba mchepuko anakutaftia dalali unazunguka na dalali😅..ukitaka ununue usafiri unamhusisha mchepuko kuliko mume😅...Kwakweli Mbingu tutaiskia tu !Mungu atusamehe
hatari san (In shekh Kipoozeo voice)
Hahaha hahaha hahahaTunashukuru kwa ukumbusho madam, lazima akili zishike hatam.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahaha hahaha hahaha
Mungu anakuonaaa
Na k ukanyimwa anatunziwa bwana mkunaji hahahaha (mbinguni tutapasikia tu)
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Auntie Mungu yuko busy hebu usimsumbue.
Na k ukanyimwa anatunziwa bwana mkunaji hahahaha (mbinguni tutapasikia tu)
Nimekuelewa vilivyo akii....Mimi zaidi ya kubembelezwa sihitaji kingine kwa mchepuko aki.... Yaani nimdekee tuu anibembelezee
Afu tukienda ahera tunaendelea na uchepukajiEwaaaaa
Na tunadedi wote
Alituagiza tuishi nao kwa akili ujue[emoji85][emoji85][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ako na CCTV camera (malaika) baadae ataujua ukweli aki!
Hahaha hahaha hahahaNimekuelewa vilivyo akii....
Hahaaaa.....utasikia nibembeleze nilale nisinzie, akipet petiwa nywele kichwani na maneno matamuuuu kwa mtindo wa kunong'oneza sikioni hachelewi hata!
Hata kule kwa sakrament style aki...(nibembeleze ni.......) mara huyo, huyoo, huyoooo
Akhera tutakuwa wanandoaAfu tukienda ahera tunaendelea na uchepukaji
Hahaha hahaha hahahaAlituagiza tuishi nao kwa akili ujue[emoji85][emoji85]