Chepuka kwa akili...

Chepuka kwa akili...

kuna ndoa aina moja tu ambayo ni official either kanisani au msikitini, nyingine ni kulangua (mnakaa bila kuhalalisha kanisani au msikitini) kwa maana hiyo naweza nikalangua na mimi au nikawa mzee wa chapa ilale.

[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Kwamba utaolewa au sijakuelewa?
 
Aaah sasa uchoyo gani huu hata shetani hapendi.
Ha ha haaaa kwa mbunye hapana asee hatutaki kushare.
Tatizo maumbile yenu yanafuwata saizi ya ulie nae ukitoka utaiongeza
Tubaki tu kua wachoyo
 
kuna ndoa aina moja tu ambayo ni official either kanisani au msikitini, nyingine ni kulangua (mnakaa bila kuhalalisha kanisani au msikitini) kwa maana hiyo naweza nikalangua na mimi au nikawa mzee wa chapa ilale.

[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Sisi ni kama maji.
 
Mjadala mzuri kweli huu manengelo kwanini hukuniita!!

Sasa ni hivi ni kweli tukichepuka hisia na mapenzi yote tunahamisha lakini tunachepuka kwasababu!!!

Ukiona wife anachepuka jua wewe mume ndiye sababu ya mkeo kuchepuka tofauti na nyie mnaochepuka ovyo km mbwa wa majalalani ndo maana upendo kwa wake zenu hubaki palepale

Mnatufananisha na mabibi zenu na mama zenu!!! Hahahahaha nicheke kihutu mie tofauti ya wao na sie ni mawigi na technology ya kimtandao tu lakini walizaa sana nje pengine kuliko sie

Kwa sasa wastani ya idadi ya watoto ni 4 ukipigwa sana ni watoto 2 au 1 ndo sio wako mwanaume lkn zamani wastani ilikuwa watoto 9 wa ndani 3, na wanaosalia wana baba zao wengine

Kuweni wavumilivu kama babu na baba zenu acheni kelele mkianzisha sie tunamalizia ukijitia mgumu katani zinauzwa bei chee
Uwii naomba nimuite Extrovert aje asome hii comment maana anapenda sana kutolea mifano ya bibi zetu na mama zetu utafikiri wao walikuwa malaika vile tena hao ndo walikuwa majasusi kabisa bora hata sisi wa kizazi hiki tunatoa hadi siri za kambi
 
Hatufukuzwi, tunabembelezwa, tunapetiwa petiwa, yes tunapewa kitu roho inapenda. Tukirudi nyumbani wepesiiii, tuanawapikia na kuwaheshimu.
Mtake nini tena jamani[emoji1745][emoji1745]
Mkituheshimu shida hakuna tatizo huko nje sasa hamta heshimiwa hata
 
Sasa kama mtu hakupi raha si unamchana akuache ukapate raha?
Ukiwa mtaka vyote utakua malaya tu si vinginevyo
Hapana hatuachani, tunaachanaje kwa suala dogo kama hilo ambalo jirani yako tu anaweza kukusaidia kulitatua halafu tukaendelea na ndoa yetu vizuri tu jamani.
 
Ha ha haaaa kwa mbunye hapana asee hatutaki kushare.
Tatizo maumbile yenu yanafuwata saizi ya ulie nae ukitoka utaiongeza
Tubaki tu kua wachoyo
Kumbe mnahofia size zenu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hebu tuacheni tukapate raha, tukirudi tutakamulia hata ndimu maana hamna namna.
 
Asipate tabu yeye akamuhoji tu vizuri mama, shangazi au bibi zake sie tunafanya marudio tu tena kwa huruma sana
Uwii naomba nimuite Extrovert aje asome hii comment maana anapenda sana kutolea mifano ya bibi zetu na mama zetu utafikiri wao walikuwa malaika vile tena hao ndo walikuwa majasusi kabisa bora hata sisi wa kizazi hiki tunatoa hadi siri za kambi
 
Good morning.....

Angalizo: soma bila jazba inaweza kukukera, ukimaliza mcheki mkeo msonye kupunguza hasira.

Wataalamu wa mambo ya mahusiano wanasema mapenzi kwa mwanaume ni moja kati ya vitu, ila kwa mwanamke mapenzi ni kila kitu, yani kwa mwanamke mapenzi ni maisha. Ndio maana mwanamke unaweza kumkera basi asikupikie, asifanye chochote yani hapo kila kitu kipo connected na hayo mapenzi tofauti na mwanaume. Mwanaume unaweza kuwa na wanawake kadhaa na wanajuana na maisha yanaendelea ila kitendo cha kujua mwanamke wako kuna mtu anasimamia kucha ni pigo sana na usipokua imara unaweza rudi kwa muumba kizembe kizembe.

Bwana kujua mali zako zinaliwa inauma, iwe analiwa mwanaume au analiwa mwanamke inauma, japo wanaume mnajitoaga tu ufahamu mnajikuta mliumbwa na kibali cha kupiga yani nyie mpige tu mkipigiwa inakupa tabu. Cha ajabu ukute umeoa kabisa unajua uchungu wa mke na unaenda kupiga wake za wenzio tena unawapenda ndio mambo yako yani ila eti wako hautaki aguswe hihihihi nacheka kisukuma brother hebu kuwa serious kidogo!!!

Mwanaume anachepuka kwa tamaa tu yani kifupi hana madhara kiiivo tukiachana na wivu wivu tu hana madhara makubwa, labda kuchunwa chunwa tu na vitu vya hapa na pale, ila sasa tukija kwetu viumbe wa kike watu ambao mioyo yetu inashape ya kopa, kopa ndio na mioyo wanaume ina shape ya korosho (tusibishane katika hili [emoji16]) mwanamke kuchepuka ni hatari kuchepuka sio tu tamaa kuchepuka ni mapenzi tena mapenzi mazito, mahaba ya dhati kabisa, we don't offer mabao tu bali tunajitoa sana hadi hisia tunaweka rehani, yani kuchepuka ni kufall in love kabisa unampa mtu moyo na hisia (micheps msizingue jamani mtatuua) na hapa ndiyo hatari ilipo mwanamke usipohusisha akili nyumba itasambaratika, utaanza kama masihara tu mara unajikuta mme unamuona kama zombie huko kwenye ateri na aota kajaa mchepuko, mchepuke kwa makini na kwa akili jamani

Evelyn Salt (fisi jike)
Mimi siku zote nimekuwa nikikamatwa hasa kwenye simu sikui kwanini
 
Kuna mdau mmoja juzi aliniambia eti wanaume wanaweza kujua kuwa wanashea mwanamke na bado wakawa wanapatana na kugongeana glasi ila wanawake hatuwezi kwa kuwa hatupendani. Kwa vile sikutaka mabishano nae nikamwambia you are completely right.
Demu wangu kuna siku kafumania sms za mapenzi tena zile mbaya kwenye simu yangu tena kwa madem wanne tofauti aliNuna kama wiki mbili akalia wee....baadae tukayamaliza na maisha yanaendelea kama kawaida na mmojawapo ni rafiki yake....Sasa najiuliza ingekuwa kinyume chake nimemfumania kama hv sijui ingekuwaje siku hiyo
 
Back
Top Bottom