Chereko chereko ujio Tume Huru ya Uchaguzi

Chereko chereko ujio Tume Huru ya Uchaguzi

Katiba kwanza afu ipuruni baadhi yamadaraka ili hizo nafasi zigombewe ama watu wafanyiwe usaili, au kila chama chenye sofa kitoe muwakilishi ndani yatume kwa mlinganyo sawa
 
Katiba kwanza afu ipuruni baadhi yamadaraka ili hizo nafasi zigombewe ama watu wafanyiwe usaili, au kila chama chenye sofa kitoe muwakilishi ndani yatume kwa mlinganyo sawa

Kasheshe la hapo mbona heri kumwachisha mtoto nyonyo?
 
Huko Ethiopia baada ya Abiy Ahmed kufanywa waziri mkuu Ethiopia walianza mabadiliko na tume huru ya uchaguzi hadi kiongozi wa upinzani akaitwa toka uhamishoni akafanywa mwenyekiti wa tume ya uchaguzi lakini nchi bado ikaishia kuparanganyika kwa migogoro mikubwa. Kubadilisha muundo mzima wa utawala kwanza kwa katiba mpya katika mageuzi ni jambo lisiloepukika
 
Back
Top Bottom