Chereko chereko ujio Tume Huru ya Uchaguzi

Chereko chereko ujio Tume Huru ya Uchaguzi

Yaani Rasimu ya Warioba ndiyo imependekeza hivyo au ..... Mbona hapo hakutakuwa na tofauti na ilivyo sasa.... wote hao ni Wateule wa Rais isipokuwa Maspika .... Hawa CCM wanataka kuwahadaa Watanzania!!
Tunaanzaje na tume kabla ya katiba?
 
Hapa kenye tume huru. tatizo sio watu wa chama fulani au aina gani ya watu, laaa
tatizo ni mfumo wa tume yenyewe na sheria na kanuni zake zinazo tumika.
.Ikiwa tume itakuwa na uwazi katika kutowa maamuzi ,hilo la kwanza.
.Ikiwa tume itawez kushitakiwa kwa matokeo kulalamikiwa mahakamani, hilo la pili.
.Ikiwa matokeo hayoto tangaazwa mpaka waridhie wadau wote waliohusika kwenye uchaguzi na kutia saini zao, hilo la tatu.
.Pasiwepo na mwenye kuweza kufuta matokeo ila Mahakama baada ya kutokea mzozo.
na yanayofanana na hayo
Haa hucho kipengele cha kusain ndo kituko mpinzA kwa Africa ni shida hawajawahi kushindwa ila kuibiwa kura

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Zimesikika chereko chereko na mayowe ujio wa tume huru ya uchaguzi.

View attachment 2052687

Bila shaka katika wote kina Addo Shaibu pale mtaa wa Jukwani nao pia hawajabakia nyuma.

Haiyumkiniki tume hii itaundwa kwa kuzingatia msingi uliopo katika katiba pendekezwa ili kupisha shari:

View attachment 2052694

Kwa kuzingatia msingi huo, bila shaka basi kwa sasa, utakuwa na majina mazito mazito haya:

1. Prof. Ibrahim Juma
2. Khakis Ramadhan (Kaimu CJ Zanzibar)
3. Job Ndugai
4. Zubeir Maulid (Zanzibar).
5. Jaji Mustapha Siyani.
6. Jaji Ibrahim Mipawa

Tusaidiane kama kuna nilipotereza kuweka kumbukumbu kuwa sahihi.

CCM mbele kwa mbele 🎼🎼!

Kazi iendelee.
Kanzu mpya sheikh yuleyule
 
Mkuu

Hata sio Watanzania,ni hawa CCM wanatulazimishia upumbavu wao wa "teuzi"

Round hii patachimbika aisee....hatukubali huu upumbavu
Maoni mengi bado yamejikita kwenye kuteua, watu wanapendekeza majina ya wanaofaa kuteuliwa! Hawa ni watumwa wasiopenda kuachiwa huru.
 
Zimesikika chereko chereko na mayowe ujio wa tume huru ya uchaguzi.

View attachment 2052687

Bila shaka katika wote kina Addo Shaibu pale mtaa wa Jukwani nao pia hawajabakia nyuma.

Haiyumkiniki tume hii itaundwa kwa kuzingatia msingi uliopo katika katiba pendekezwa ili kupisha shari:

View attachment 2052694

Kwa kuzingatia msingi huo, bila shaka basi kwa sasa, utakuwa na majina mazito mazito haya:

1. Prof. Ibrahim Juma
2. Khakis Ramadhan (Kaimu CJ Zanzibar)
3. Job Ndugai
4. Zubeir Maulid (Zanzibar).
5. Jaji Mustapha Siyani.
6. Jaji Ibrahim Mipawa

Tusaidiane kama kuna nilipotereza kuweka kumbukumbu kuwa sahihi.

CCM mbele kwa mbele 🎼🎼!

Kazi iendelee.
Sema tume ya kuichagua CCM, maana hapo naona mwendo ni uleule wa kijani
 
Viongozi wote wa juu wanatakiwa waombe baada ya nafasi zao kutangazwa, mtindo wa kuteuliwa haupo japo watanzania kwa ujinga wanaupenda.

Kulitumia neno "watanzania" hivi ni kuwakosea sana wengi wasiokuwamo.
 
Kumpata Mkiti wa tume huru ya uchaguzi, kigezo cha umri kisiwepo kabisa ila apatikane mtu anayeaminika na jamii mfano Mzee Butiku, Assad, Warioba, Jaji Samata, Lwaitama, Jenerali Ulimwengu na wengine wa aina hiyo...
 
Kumpata Mkiti wa tume huru ya uchaguzi, kigezo cha umri kisiwepo kabisa ila apatikane mtu anayeaminika na jamii mfano Mzee Butiku, Assad, Warioba, Jaji Samata, Lwaitama, Jenerali Ulimwengu na wengine wa aina hiyo...

Kigezo cha umri ni usanii wa kiwango chake:

IMG_20211223_103348_100.jpg


Kuruhusu longo longo zozote ku undermine the only requirement ya minimum age 18 kwa mtu mzima ni kuukaribisha huu usanii.
 
Yanachosha bana

Hua sometimes nanyamazaga,kimyaaaa!

Maana ukiyaongelea sense ndio hua hayaelewi,ila yanaelewaga ukiyaongelea ujinga!

Ila hii Katiba lazima tumkate mtu kiuno,wallah nakwambia!
[emoji23][emoji119][emoji119][emoji23][emoji119][emoji119]
Nikajua huwa huchoki[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
We jamaa bwana[emoji23][emoji23][emoji119]
 
Zimesikika chereko chereko na mayowe ujio wa tume huru ya uchaguzi.

View attachment 2052687

Bila shaka katika wote kina Addo Shaibu pale mtaa wa Jukwani nao pia hawajabakia nyuma.

Haiyumkiniki tume hii itaundwa kwa kuzingatia msingi uliopo katika katiba pendekezwa ili kupisha shari:

View attachment 2052694

Kwa kuzingatia msingi huo, bila shaka basi kwa sasa, utakuwa na majina mazito mazito haya:

1. Prof. Ibrahim Juma
2. Khamis Ramadhan (Kaimu CJ Zanzibar)
3. Job Ndugai
4. Zubeir Maulid (Zanzibar)
5. Jaji Mustapha Siyani
6. Jaji Ibrahim Mipawa

Tusaidiane kama kuna nilipotereza kuweka kumbukumbu kuwa sahihi.

CCM mbele kwa mbele 🎼🎼!

Kazi iendelee.
Tume huru ni mtoto wa katiba.....
Katiba kwanza kisha tume huru
 
Zimesikika chereko chereko na mayowe ujio wa tume huru ya uchaguzi.

View attachment 2052687

Bila shaka katika wote kina Addo Shaibu pale mtaa wa Jukwani nao pia hawajabakia nyuma.

Haiyumkiniki tume hii itaundwa kwa kuzingatia msingi uliopo katika katiba pendekezwa ili kupisha shari:

View attachment 2052694

Kwa kuzingatia msingi huo, bila shaka basi kwa sasa, utakuwa na majina mazito mazito haya:

1. Prof. Ibrahim Juma
2. Khamis Ramadhan (Kaimu CJ Zanzibar)
3. Job Ndugai
4. Zubeir Maulid (Zanzibar)
5. Jaji Mustapha Siyani
6. Jaji Ibrahim Mipawa

Tusaidiane kama kuna nilipotereza kuweka kumbukumbu kuwa sahihi.

CCM mbele kwa mbele 🎼🎼!

Kazi iendelee.
Maccm yatapola Kama yalivyopola Rasim ya Jaji Warioba,
Hakuna kitu hapo.
 
Back
Top Bottom