- Thread starter
- #81
et wanaopendekeza majina nao waliteuliwa na mteuzi wa watakao walendekeza
Staajabu ya Mussa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
et wanaopendekeza majina nao waliteuliwa na mteuzi wa watakao walendekeza
Mkuu
Hata sio Watanzania,ni hawa CCM wanatulazimishia upumbavu wao wa "teuzi"
Round hii patachimbika aisee....hatukubali huu upumbavu
Makungu yule swahiba wake jiweMakungu ni Jaji mkuu wa Zanzibar?
Makungu yule swahiba wake jiwe
Yule wa boss wa wasiojulikana auListi nzima imejaza maswahiba wake 😁😁
Tunaanzaje na tume kabla ya katiba?Yaani Rasimu ya Warioba ndiyo imependekeza hivyo au ..... Mbona hapo hakutakuwa na tofauti na ilivyo sasa.... wote hao ni Wateule wa Rais isipokuwa Maspika .... Hawa CCM wanataka kuwahadaa Watanzania!!
Haa hucho kipengele cha kusain ndo kituko mpinzA kwa Africa ni shida hawajawahi kushindwa ila kuibiwa kuraHapa kenye tume huru. tatizo sio watu wa chama fulani au aina gani ya watu, laaa
tatizo ni mfumo wa tume yenyewe na sheria na kanuni zake zinazo tumika.
.Ikiwa tume itakuwa na uwazi katika kutowa maamuzi ,hilo la kwanza.
.Ikiwa tume itawez kushitakiwa kwa matokeo kulalamikiwa mahakamani, hilo la pili.
.Ikiwa matokeo hayoto tangaazwa mpaka waridhie wadau wote waliohusika kwenye uchaguzi na kutia saini zao, hilo la tatu.
.Pasiwepo na mwenye kuweza kufuta matokeo ila Mahakama baada ya kutokea mzozo.
na yanayofanana na hayo
Kanzu mpya sheikh yuleyuleZimesikika chereko chereko na mayowe ujio wa tume huru ya uchaguzi.
View attachment 2052687
Bila shaka katika wote kina Addo Shaibu pale mtaa wa Jukwani nao pia hawajabakia nyuma.
Haiyumkiniki tume hii itaundwa kwa kuzingatia msingi uliopo katika katiba pendekezwa ili kupisha shari:
View attachment 2052694
Kwa kuzingatia msingi huo, bila shaka basi kwa sasa, utakuwa na majina mazito mazito haya:
1. Prof. Ibrahim Juma
2. Khakis Ramadhan (Kaimu CJ Zanzibar)
3. Job Ndugai
4. Zubeir Maulid (Zanzibar).
5. Jaji Mustapha Siyani.
6. Jaji Ibrahim Mipawa
Tusaidiane kama kuna nilipotereza kuweka kumbukumbu kuwa sahihi.
CCM mbele kwa mbele 🎼🎼!
Kazi iendelee.
Maoni mengi bado yamejikita kwenye kuteua, watu wanapendekeza majina ya wanaofaa kuteuliwa! Hawa ni watumwa wasiopenda kuachiwa huru.Mkuu
Hata sio Watanzania,ni hawa CCM wanatulazimishia upumbavu wao wa "teuzi"
Round hii patachimbika aisee....hatukubali huu upumbavu
Sema tume ya kuichagua CCM, maana hapo naona mwendo ni uleule wa kijaniZimesikika chereko chereko na mayowe ujio wa tume huru ya uchaguzi.
View attachment 2052687
Bila shaka katika wote kina Addo Shaibu pale mtaa wa Jukwani nao pia hawajabakia nyuma.
Haiyumkiniki tume hii itaundwa kwa kuzingatia msingi uliopo katika katiba pendekezwa ili kupisha shari:
View attachment 2052694
Kwa kuzingatia msingi huo, bila shaka basi kwa sasa, utakuwa na majina mazito mazito haya:
1. Prof. Ibrahim Juma
2. Khakis Ramadhan (Kaimu CJ Zanzibar)
3. Job Ndugai
4. Zubeir Maulid (Zanzibar).
5. Jaji Mustapha Siyani.
6. Jaji Ibrahim Mipawa
Tusaidiane kama kuna nilipotereza kuweka kumbukumbu kuwa sahihi.
CCM mbele kwa mbele 🎼🎼!
Kazi iendelee.
Sema tume ya kuichagua CCM, maana hapo naona mwendo ni uleule wa kijani
Viongozi wote wa juu wanatakiwa waombe baada ya nafasi zao kutangazwa, mtindo wa kuteuliwa haupo japo watanzania kwa ujinga wanaupenda.
Kumpata Mkiti wa tume huru ya uchaguzi, kigezo cha umri kisiwepo kabisa ila apatikane mtu anayeaminika na jamii mfano Mzee Butiku, Assad, Warioba, Jaji Samata, Lwaitama, Jenerali Ulimwengu na wengine wa aina hiyo...
Kumbe kuna muda huwa unachoka kuinanga kijani kibichi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Exactly mkuu
Haya majitu aisee...mpaka hua nachoka kabisa
[emoji23][emoji119][emoji119][emoji23][emoji119][emoji119]Yanachosha bana
Hua sometimes nanyamazaga,kimyaaaa!
Maana ukiyaongelea sense ndio hua hayaelewi,ila yanaelewaga ukiyaongelea ujinga!
Ila hii Katiba lazima tumkate mtu kiuno,wallah nakwambia!
Tume huru ni mtoto wa katiba.....Zimesikika chereko chereko na mayowe ujio wa tume huru ya uchaguzi.
View attachment 2052687
Bila shaka katika wote kina Addo Shaibu pale mtaa wa Jukwani nao pia hawajabakia nyuma.
Haiyumkiniki tume hii itaundwa kwa kuzingatia msingi uliopo katika katiba pendekezwa ili kupisha shari:
View attachment 2052694
Kwa kuzingatia msingi huo, bila shaka basi kwa sasa, utakuwa na majina mazito mazito haya:
1. Prof. Ibrahim Juma
2. Khamis Ramadhan (Kaimu CJ Zanzibar)
3. Job Ndugai
4. Zubeir Maulid (Zanzibar)
5. Jaji Mustapha Siyani
6. Jaji Ibrahim Mipawa
Tusaidiane kama kuna nilipotereza kuweka kumbukumbu kuwa sahihi.
CCM mbele kwa mbele 🎼🎼!
Kazi iendelee.
Maccm yatapola Kama yalivyopola Rasim ya Jaji Warioba,Zimesikika chereko chereko na mayowe ujio wa tume huru ya uchaguzi.
View attachment 2052687
Bila shaka katika wote kina Addo Shaibu pale mtaa wa Jukwani nao pia hawajabakia nyuma.
Haiyumkiniki tume hii itaundwa kwa kuzingatia msingi uliopo katika katiba pendekezwa ili kupisha shari:
View attachment 2052694
Kwa kuzingatia msingi huo, bila shaka basi kwa sasa, utakuwa na majina mazito mazito haya:
1. Prof. Ibrahim Juma
2. Khamis Ramadhan (Kaimu CJ Zanzibar)
3. Job Ndugai
4. Zubeir Maulid (Zanzibar)
5. Jaji Mustapha Siyani
6. Jaji Ibrahim Mipawa
Tusaidiane kama kuna nilipotereza kuweka kumbukumbu kuwa sahihi.
CCM mbele kwa mbele 🎼🎼!
Kazi iendelee.
Maccm yatapola Kama yalivyopola Rasim ya Jaji Warioba,
Hakuna kitu hapo.