Chibu kapanda mbegu kwa mshamba na limbukeni

Mkuuu anayejua kabila LA huyo mwanadada anisaidie !!!

Ivi sio mwanadasalama kweli ????? Yaaan ukoooo mzima unafurahia Binti kuzalishwa na mababa tofauti tofauti bila kuangalia heshima yake ,bila kuangalia atakua nani atakapofikisha miaka 40 .


Daahhhhhh kazi kweli kweli!!! Ata kama elimu imepita mbali ,,ivi kweli hata elimu yamaisha imempita ??????
 
Ungemuliza mobeto hilo swali sasa tukusaidie nini .
 
Akifikisha 40 msululu wa baba na watoto
 
Hamisa Ana kaushamba Fulani.
Anatakiwa ashindane na zari kitandani sio Instagram.hauwezi kuwa namba moja bila kupitia mbili. Na kuipata namba moja ni bidii yako tu.
Hivi yule boss lady Mwenye vijimaneno vya kishakunaku nae ni mzungu teh teh teh Chuki ni ugonjwa wa moyo shogangu
 
Hivi yule boss lady Mwenye vijimaneno vya kishakunaku nae ni mzungu teh teh teh Chuki ni ugonjwa wa moyo shogangu
Aendelee kubishana na zari
Mwenyewe yupo sauzi nyumba kanunuliwa na watoto wake ana uhakika hawakosi kitu kwa diamond. Mshaurini hamisa atulie aache mapepe atakula sahani moja na zari. Vinginevyo atabakia hivyo hivyo. Kumuona diamond Instagram. MTU umeshazaa nae mapepe ya nini
 
We ni ME au KE?
 
KUMBE HAMISA NI USED NA KELELE ZOTE HIZO ANA MTOTO MWINGINE NA BABA MWINGINE.DIAMOND NAYE.ILA HUYU DADA NA HASA MAMA YAKE NI OVYO KABISA NA HAWAJUI KULA NI VIPOFU KUMBE NA MAJZO PIA YUMO HIKI NI KITI CHA MIBA
 
"Mwanamke jeuri muibie mumewe"
Jasiri haachi asili!!
 
Nadhani wa kutuli ni sisi tunao judge maisha ya watu,we imekuaje kama hamisa atabakia hivyo hivyo kama si umbea
 
Nadhani wa kutuli ni sisi tunao judge maisha ya watu,we imekuaje kama hamisa atabakia hivyo hivyo kama si umbea
Ili ndo tatizo za timu zenu. Ndo maana nikiingia insta uwa naangaliaga tu. Sina muda wa kufatilia maisha Yao wala Ku judge. Ila nauona ukweli na ndio niliousema. Mnampoteza hamisa. Hata uke wenza ataukosa. Sasa hivi mpaka mawifi zake wote wapo upande wa zari. Kwa sababu ya ujinga mnaomjaza.
 
hivi uyo zari mnosema ana akili ana akili gani?

bila ivan asingejiita bosslady..

katika wanawake wa diamond wakodhalilishwa ni huyu...
anashikwa shikwa uchi bafuni video zinapostiwa.IG... ww mleta uzi unaweza shika shika au kushikwa shikwa....
hivo?
mama wa watoto wa5 anahangaika na mwanaume wa kumzaa na anadhalilishwa hadharani ,mama gani huyo anaeweza hayo? mbele y watt wake kama anajiheshimu?

hivi huyo zari mbona mnataka kumfanya kama ana busara na akili saana...
She's just aBitch who's dying for fucking fame
 
SI MUMSHAURI NYIE ANATUTIA AIBU WABONGO TUNAONEKANA LIMBUKENI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…