babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 14,478
- 18,341
Zari kweli kiboko, lile jumba kalamba kilainii kwasasa dogo akienda aende kwa adabu.Aendelee kubishana na zari
Mwenyewe yupo sauzi nyumba kanunuliwa na watoto wake ana uhakika hawakosi kitu kwa diamond. Mshaurini hamisa atulie aache mapepe atakula sahani moja na zari. Vinginevyo atabakia hivyo hivyo. Kumuona diamond Instagram. MTU umeshazaa nae mapepe ya nini
PLATE NUMBER TU KULIPIA KWA MWAKA HILO JINA UNANUNUA RAV 4 ALIYOONGWA HUYO ASIYEJUA KULA NA VIPOFU[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] daah!ana pesa gani yule
Sijamteta acheni kumsimanga na ninyi mtazaa pia watoto wa kike na wa kiumeUmejitahidi sana kumtetea huyo limbukeni wa maisha(hamisa),kwa anayoyafanya huyu mtoto ananipa wasiwasi na uelewa wake,pengine sio mzima,hua najiuliza Kwanini hizi vurugu hakuzifanya alivyozaa na majizo?
Una hakika ndo alipost?!!ngojeni ukweli mtaujua kesi iko mahakamaniiUnaona sasa umeshasahau. Kulikuwa na haja gani hamisa kupost picha na diamond?
Zari anajua sehemu nzuri ya kugawa papuchi yake kampa Ivan. Hesabu zimekubali.Zari kweli kiboko, lile jumba kalamba kilainii kwasasa dogo akienda aende kwa adabu.
Aisee mungu akunyime pesa akupe akili.
Juzi tu kapost anataka kwenda kuchukua hereni zake kwa diamond. Kwenye lile tangazo la Danube. Amekuwa paka shumeeUna hakika ndo alipost?!!ngojeni ukweli mtaujua kesi iko mahakamanii
Kumbe hujui ilikuaje[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]ndo walewale kumbeeJuzi tu kapost anataka kwenda kuchukua hereni zake kwa diamond. Kwenye lile tangazo la Danube. Amekuwa paka shumee
Anaibiaaaa[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]. Mimi nalala. Ila mshaurini huyo mwenzenu Kama anamtaka diamond. Aache mapepe. Mambo kitandani sio INSTAGRAM
mie nataka nikuibe ww maana hako ka mdomo nimekaelewa/avatar/Pambana na hali yako ungekua na busara kipindi haswa kipindi zari anachezewa na diamond bafuni ungempa ushauri mtu mzima yule
She is jus 24 ujana maji ya moto!fancy baba ake anajielewa kila mtu na life lake looohhh!
Mlitaka azae na nani?hahahaaaaaaa
Ndo ashazaa na diamond na ndo ashafanya party
Mwanamke jeuri muibie mmewe
Juzi tu kapost anataka kwenda kuchukua hereni zake kwa diamond. Kwenye lile tangazo la Danube. Amekuwa paka shumee
Anaibiaaaa[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]. Mimi nalala. Ila mshaurini huyo mwenzenu Kama anamtaka diamond. Aache mapepe. Mambo kitandani sio INSTAGRAM
sijapanick mkuu wote hayatuhusu ndo maana tumepitia Uzi wa watu[emoji23] [emoji23] nimeelewa utetezi wako ila anazingua huyu bintiUsipaniki kwa mambo yasiyo kuhusu bro..
Hii ndio point sasaMimi ninachokiona kijana mwenzetu ni maarufu kwa kula scrapers, zote zile ni scrapers!
MPENI USHAURIZile picha akiwa kitandan na dai,hamisa alivujisha kupitia shost yake mkenya ili kumkomoa dai,hio danube alipost ili nae apate ubalozi jamaa wakamtolea nje. Hamisa hana akili kabisaaa
There you are ...sasa tujulishane...tabu ya uke wenza au shida yake ipo wapi....as long as mwanaume anauwezo wa kuprovide equally kwa kila mmoja?Hii ndio point sasa
Zari na Hamisa hakuna utofauti sana kwa jinsi Diamond alivyowakuta(past) zao na walivyo sasa(currently)
Yani wote wamezalishwa na hakuna mwenye ndoa na wote walikuwa na watoto huko walipotoka
Hawajamuelewa tu Diamond alivyosema ndio kwanza ana 28 na ana uwezo wa kuoa wake wanne
Wangeishi kwa peace tu kama wake wenza(jambo ambalo wanawake hatuliwezi)
Mwisho wa siku muamuzi wa mwisho ni Diamond
SHIDA SIO KUWA NA WATOTO. NI AFADHALI ZARI HATA AKIWA NA WATOTO KUMI NA BABA TOFAUTI ILA ANA BUSARA HUYU MWINGINE NI KANGA MOKOHii ndio point sasa
Zari na Hamisa hakuna utofauti sana kwa jinsi Diamond alivyowakuta(past) zao na walivyo sasa(currently)
Yani wote wamezalishwa na hakuna mwenye ndoa na wote walikuwa na watoto huko walipotoka
Hawajamuelewa tu Diamond alivyosema ndio kwanza ana 28 na ana uwezo wa kuoa wake wanne
Wangeishi kwa peace tu kama wake wenza(jambo ambalo wanawake hatuliwezi)
Mwisho wa siku muamuzi wa mwisho ni Diamond
Wewe Dada mswahili[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] haki zipi labdaa?kaahh!mwataka kila anachokifanya mkijue ptuuu
Huyo diamond akiamua kumsaidia atamsaidia akigoma hana akili mtoto atakua tuuu!!mwisho wa siku diamond atakua mjinga
NI VIZEE! USED CHINESE MACHINES! NDOA NZURI INGEKUWA LEMUTUZ NA MANGE, HAMISA NA STEVE NYERERE,WEMA NA HARMORAPAEti Hamisa miaka 24? Kwanini hawa watu wote ni miaka 24 tu? Kuanzia Hamisa, Wema, Mange, Le Mutuz, hivi kwanini lakini?