Chibu kapanda mbegu kwa mshamba na limbukeni

Chibu kapanda mbegu kwa mshamba na limbukeni

hivi uyo zari mnosema ana akili ana akili gani?

bila ivan asingejiita bosslady..

katika wanawake wa diamond wakodhalilishwa ni huyu...
anashikwa shikwa uchi bafuni video zinapostiwa.IG... ww mleta uzi unaweza shika shika au kushikwa shikwa....
hivo?
mama wa watoto wa5 anahangaika na mwanaume wa kumzaa na anadhalilishwa hadharani ,mama gani huyo anaeweza hayo? mbele y watt wake kama anajiheshimu?

hivi huyo zari mbona mnataka kumfanya kama ana busara na akili saana...
She's just aBitch who's dying for fucking fame
KAMA HUJAONA AKILI YA ZARI MPAKA SASA HIVI NA WEWE UNA SHIDA KICHWANI.KWA MAWZO YAKO ZARI ANAMTEGEMEA DIAMOND.ZARI ANA HELA KULIKO DIAMOND
 
hivi uyo zari mnosema ana akili ana akili gani?

bila ivan asingejiita bosslady..

katika wanawake wa diamond wakodhalilishwa ni huyu...
anashikwa shikwa uchi bafuni video zinapostiwa.IG... ww mleta uzi unaweza shika shika au kushikwa shikwa....
hivo?
mama wa watoto wa5 anahangaika na mwanaume wa kumzaa na anadhalilishwa hadharani ,mama gani huyo anaeweza hayo? mbele y watt wake kama anajiheshimu?

hivi huyo zari mbona mnataka kumfanya kama ana busara na akili saana...
She's just aBitch who's dying for fucking fame
[emoji1] [emoji1] [emoji1] umeuaaa
 
SI MUMSHAURI NYIE ANATUTIA AIBU WABONGO TUNAONEKANA LIMBUKENI
Haya naongea humu tu. Nikifika Instagram. Uwa nakaa kimyaa. Naogopa wenye timu zao. hamisa angekuwa mjanja yeye ndo angekuwa namba 1. Na ingewezekana hata kuishi pamoja na diamond sabab ya mtoto. Tatizo mdomo na timu zao zinamjaza ujinga.
Siku zote nyumba ndogo ndo inamzidi ujanja nyumba kubwa. Lakini yeye nyumba ndogo anazidiwa ujanja na nyumba kubwa.
Anaonekana Hana cha ziada.
 
KAMA HUJAONA AKILI YA ZARI MPAKA SASA HIVI NA WEWE UNA SHIDA KICHWANI.KWA MAWZO YAKO ZARI ANAMTEGEMEA DIAMOND.ZARI ANA HELA KULIKO DIAMOND
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] daah!ana pesa gani yule
 
Heshima kwenu waungwana

Hivi Tangu huyu bibie mobeto ajifungue mtoto wa pili na kusemekana kuwa ni wa chibu, kelele zimekuwa nyingi, watu hawapumui kiasi kwamba huyo mtoto kashushwa km kilivyoshushwa kile kitabu kitakatifu,

Hivi hana kingine cha kufanya? Na vipi kuhusu yule mtoto wake wakwanza alozaa na Majizo? Hana thamani km Mwafrika mbele ya watu weupe? Kwann anakuwa mbaguzi kwa yule mtoto wa kwanza km ni wa hisani?

Huu ni ulimbukeni na ushamba wa kiwango cha reli ya mwendokasi,
Wtf
 
Lazima muambiwe ili mujue wapi mrekebishe,

Mwambieni kiti wenu Apunguze mizuka
Kweli maisha bila unafki hayaendi!!anza kujirekebisha wewe kwanza
Dada pambana na yako[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] ya hamissa huyawezi.
Mondi hana mke mjue ana hawara mwenye watoto watatu wa mwanaume mwingine
Mwanamke mwenye akili hawezi muacha mzazi mwenzie waliyeishi for good 12yrs na kwenda kubemenda vitoto
 
Ili ndo tatizo za timu zenu. Ndo maana nikiingia insta uwa naangaliaga tu. Sina muda wa kufatilia maisha Yao wala Ku judge. Ila nauona ukweli na ndio niliousema. Mnampoteza hamisa. Hata uke wenza ataukosa. Sasa hivi mpaka mawifi zake wote wapo upande wa zari. Kwa sababu ya ujinga mnaomjaza.
Acha ngenga mtoto wa kike mjini hatupangiani jinsi ya kuishi, eti uke wenza teh teh teh kwa ndoa ipi aliyoolewa Zari sasa?
 
Pambana na hali yako ungekua na busara kipindi haswa kipindi zari anachezewa na diamond bafuni ungempa ushauri mtu mzima yule

She is jus 24 ujana maji ya moto!fancy baba ake anajielewa kila mtu na life lake looohhh!
Mlitaka azae na nani?hahahaaaaaaa
Ndo ashazaa na diamond na ndo ashafanya party

Mwanamke jeuri muibie mmewe
She is just 24??. Anadai yupo na mondi huu mwaka wanaingia mwaka wa 10 wa mahusiano. Kwahyo alianza kudate na mondi akiwa na 14 years??. Jamani hamisa atakua ana miaka 27-28 [emoji1][emoji1][emoji1]
 
Haya naongea humu tu. Nikifika Instagram. Uwa nakaa kimyaa. Naogopa wenye timu zao. hamisa angekuwa mjanja yeye ndo angekuwa namba 1. Na ingewezekana hata kuishi pamoja na diamond sabab ya mtoto. Tatizo mdomo na timu zao zinamjaza ujinga.
Siku zote nyumba ndogo ndo inamzidi ujanja nyumba kubwa. Lakini yeye nyumba ndogo anazidiwa ujanja na nyumba kubwa.
Anaonekana Hana cha ziada.
Diamond hajao kakaaa ana mahawara tu
Msiwape vyeo hivyoo
 
Acha ngenga mtoto wa kike mjini hatupangiani jinsi ya kuishi, eti uke wenza teh teh teh kwa ndoa ipi aliyoolewa Zari sasa?
Wanahalalisha haramu hawa[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] wanamjaza ujinga bibi yule hawajui maana ya ndoa etii
 
Hamisa Ana kaushamba Fulani.
Anatakiwa ashindane na zari kitandani sio Instagram.hauwezi kuwa namba moja bila kupitia mbili. Na kuipata namba moja ni bidii yako tu.
Kitandani kesha mshinda siku mingi
 
Wote wanqzingua Mond mbwa na mobetto huyo mbwa pia tofauti ni Mond kufanya janja kuonekana nae mtu na mobetto anamkomoa bi mkubwa ila all in all wanaleta hasira wote and huyo Hamisa hakusoma so hana akili viziuri na washauri wake ovyo bi mkubwa wa hamisa anapelekwa na binti
Nani kakwambia wenye akili ni wasomi??
 
Back
Top Bottom