Mukulu wa Bakulu
JF-Expert Member
- Aug 12, 2014
- 4,051
- 12,954
Mpumbavu sana,hana akili,kwa kua kaingia mwenyewe kingi,hatoki.fisi sana yule. Wamuache tu afe.CHID BENZ hakuwa mtu wa maana, sioni faida yeyote ya watu kumsaidia. Wimbo alioutoa kipindi cha uchaguzi 2015 ulijaa matusi, ubaguzi, unyanyapaa, etc, na ulikuwa wimbo usio na adabu wala usiopendeza masikio! Leo hii mimi na akili zangu nimuonee huruma mjinga kama huyu? Mkuu naungana na wewe! Wangemuacha afe tu! Ili iwe fundisho kwa wajinga wenye akili kama zake! Hata hivyo hatoboi! Bora Mangwea Mungu alimchukua(MUNGU AMLAZE PEMA, PEPONI)Lakini hakuwahi kutukana mtu yeyote kwa sababu za kisiasa!
wewe ni ke au meApone jamani napenda sauti yake akiimba sema ndio mbishi hataree
Mungu hakumshaur wala kumlazimisha kutumia hayo madudu,Vijana wanatumia maunga kwa ujinga wao,ila shida wanawapa watu wengine kabisa.Chid,Q chillah,Ray C,Ngwea na wengineo wote walikua wanajua UNGA una atharMungu amsaidie apone na arudi kama mwanzo
Kwa taarifa nilizonazo Mungu kachoka na mateja. Yuko bize kuwalinda watumbua majipuMungu atasaidia King Kong wa Ilala....Inshalllah
Nafsi yake inataka kuacha ila mwili wake hautaki.Power of drug addiction.Ni MUNGU tu atende miujiza yake ili aache kutumia hiyo kitu;
na kuacha ni yeye aamue mwenyewe kuwa sasa basi;
vinginevyo wengine huwa wanarudia poda.
Sober house secondary school masomo yote ni bure na sio boarding ni day.Huko sober house kuna ada unalipa au"
Kama bording vile
Nikiangalia idadi ya waliomtukana Lowasa na yaliyowafika, huyu Chid Benz basi ndio tumeshampoteza, kama wapo wanaompenda wamchukuwe wampeleke kwa Lowasa amsamehe ataondoka na upako ambao utamweka huru.CHID BENZ hakuwa mtu wa maana, sioni faida yeyote ya watu kumsaidia. Wimbo alioutoa kipindi cha uchaguzi 2015 ulijaa matusi, ubaguzi, unyanyapaa, etc, na ulikuwa wimbo usio na adabu wala usiopendeza masikio! Leo hii mimi na akili zangu nimuonee huruma mjinga kama huyu? Mkuu naungana na wewe! Wangemuacha afe tu! Ili iwe fundisho kwa wajinga wenye akili kama zake! Hata hivyo hatoboi! Bora Mangwea Mungu alimchukua(MUNGU AMLAZE PEMA, PEPONI)Lakini hakuwahi kutukana mtu yeyote kwa sababu za kisiasa!
Shukran babutale & Kalapina. Mungu awazidishie roho za upendo.Meneja wa Diamond akishirikiana na Kalapina wamempeleka Chid Benz Life and Hope Rehabilitation Organization iliyopo Bagamoyo kwa ajili ya kusaidiwa kuacha marumizi ya dawa za kulevya
View attachment 331966
hatua hiyo imekuja baada ya hivi karibuni rapa huyo kuomba msaada baada ya kuona ameshindwa kukabiliana na matatizo ya kiafya yanayomkabili
kupitia ukurasa wake wa Instagram Babutale ameandika
mwana amekubali kukaa soba ila anasisitiza wana mje kumtembelea kumpa pole na kuleta mapokopoko manjari. Mungu bariki hii safari ya matumaini
mkuu sijasema amlinde nimesema amsaidieKwa taarifa nilizonazo Mungu kachoka na mateja. Yuko bize kuwalinda watumbua majipu
mi mwenyewe siwaelewi elewi hawa majamaa,time will tell,maana TZ ya magu kila jiwe litageuzwaHivi akina babu tale, fella and co wanafanyaga biashara gani, maana kuna tuhuma.
Kaanza tena yule Dada?tunamuombea,
Ila tatizo hawa jamaa wakirudi kwenye hali zao huanza tena madude
Refer kwa kiuno bila mfupa
Mkuu unamaanisha hata nikioa sitaacha kunyetuka?Kumbe unga kama nyeto eehh ukianza tuu huachi.
Come back to ur normal situation ninja king kong mfalme wa ilala.
Sipendi tabia zako ila naupenda mziki wako
Last time alihamia Tegeta Masite!tegeta ndo alikokuwa anatafunia hizo pouder zake
nilikuwa namuelewa sana lyrical and natural gifted of africa(langa),.kuna lile song la rafiki wa kweli alikuwa amevaa t-shirt iliyoandikwa langa rehabitation centre,mchizi alikuwa na dream ya kumiliki rehab yake,.amefariki hajaonesha hata 5% ya uwezo wake,mchizi alikuwa na kipaji sana,...R.I.P bruvDah ananikumbusha Langa ,jela kifo au taasisi ndio mwisho wa uteja ,nishakua mteja utaniambia nini ,amefanikiwa kutibiwa halafu ndio aka danja R.I.P Langa