Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chid ana tatizo la afya ya akili litokanalo na matumizi kabambe ya mihadaratiNimeona Chid analalamika kaimba na Diamond ila ajalipwa pesa.
Ni hivi Chid Benz ana wimbo unaitwa Tunaishi nao kamshilikisha Diamond Platnumz.
Chidi analalamika mtu ambaye kamshilikisha kwenye wimbo wake ajamlipa. How come mwenye wimbo anataka alipwe na aliyepewa colabo?
Diamond aliamua kuweka chorus baada ya kilio cha muda mrefu kuomba ampe colabo na amsaidie. Akaweka chorus na akamfanyia surprise as aliomba sana mpaka kwenye media wote mashaidi.
Akafanya nae makubaliano ya kuzunguka show zote za wasafi 2023. Pia kurekodi video ya wimbo kwa gharama za Diamond Platnumz. Promo ya project yote ilikuwa iwe chini ya Wasafi.
Mwisho wa siku wimbo haukutoka officially Chidibenz anataka alipwe na Diamond.
Kama kawaida ya wanafki wanamjaza Chidi ana akili nyingi kumuelewa lazima uwe genius 😂😂
Chidi waambie watanzania kilitokea nini Mwanza mpaka kila kitu kikafa?
Moja ya kosa kubwa maishan n kuhis matatizo yako yabasababishwa na watu wengine wakati wewe ndio tatzo...yan utabak ukilaumu watu na hauwez kujitoa kwenye ilo tatizoHuwa sikubaliani na wewe chawa wa wcb ila kwenye hili nakuunga mkono.
Nimemsikia chid ana makasiriko.
Halafu ajabu ile suprise chid alifurahi hadi kidogo atoe chozi lakini leo analalama kuwa jamaa aliingiza vocal bila kumwambia wakati jamaa alilenga kumboost.
Sometimes wema unaleta lawama. Jamaa anahisi amefail kwa sababu ya watu.
Wanapenda kutengeneza matukioAgain, wote hawa ni wasanii si wanamuziki wa maaana. In short, ni waigizaji tu.
Mbona unazungumzia walio fel tu au wakina Jiga, Dr dre ,fa,sugu profesa ao ao wakina diamond au umeona walio fel tuMuziki kazi ya Laana na Haina baraka.
Mi sio mtabiri ila ktk game la muziki naweza kutabiri.
Hakuna mafanikio yoyote huko mbele Kwa mwanamuziki,ni swala la muda kama mwanamuziki hakwenda jela ,atakuwa mteja ,kufulia na kusahaulika na atakuja mwingine na cycle will continue.
Mondi is not exception na yeye safari ya kwenda chini ipo kama haijaanza.
Whitney, Marley, RKelly,LuckyDube,Bi.Kidude Matona ,TID,Chilla Mifano ni mingi sitomaliza,
Kwa nn ww unaamini diamond ni malaika hakosei? tuanzie hapo kwanza.Nimeona Chid analalamika kaimba na Diamond ila ajalipwa pesa.
Ni hivi Chid Benz ana wimbo unaitwa Tunaishi nao kamshilikisha Diamond Platnumz.
Chidi analalamika mtu ambaye kamshilikisha kwenye wimbo wake ajamlipa. How come mwenye wimbo anataka alipwe na aliyepewa colabo?
Diamond aliamua kuweka chorus baada ya kilio cha muda mrefu kuomba ampe colabo na amsaidie. Akaweka chorus na akamfanyia surprise as aliomba sana mpaka kwenye media wote mashaidi.
Akafanya nae makubaliano ya kuzunguka show zote za wasafi 2023. Pia kurekodi video ya wimbo kwa gharama za Diamond Platnumz. Promo ya project yote ilikuwa iwe chini ya Wasafi.
Mwisho wa siku wimbo haukutoka officially Chidibenz anataka alipwe na Diamond.
Kama kawaida ya wanafki wanamjaza Chidi ana akili nyingi kumuelewa lazima uwe genius [emoji23][emoji23]
Chidi waambie watanzania kilitokea nini Mwanza mpaka kila kitu kikafa?
Kabisa Mkuu. Nashangaa hata Baby Kabaye ilikuwaje akaamua kufanya mahojiano na mtu ambaye ni mentally disturbed.Chidi ana mental issue nashangaa mnamvyomjadili hapa kama ana akili timamu
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Nilicheka sana ile clip..bongo kuna watu wakorof sana..sijui ndio mapenz kwa msanii wao akaamua akwapue kofia au ni ukuda tu?😂😂Vip kofia yenu mmeipata? 😄😄😄
Safari ipi kwenye maisha ni ya kudumu? Maana kila nacho kiona ni muda mfupiMuziki kazi ya Laana na Haina baraka.
Mi sio mtabiri ila ktk game la muziki naweza kutabiri.
Hakuna mafanikio yoyote huko mbele Kwa mwanamuziki,ni swala la muda kama mwanamuziki hakwenda jela ,atakuwa mteja ,kufulia na kusahaulika na atakuja mwingine na cycle will continue.
Mondi is not exception na yeye safari ya kwenda chini ipo kama haijaanza.
Whitney, Marley, RKelly,LuckyDube,Bi.Kidude Matona ,TID,Chilla Mifano ni mingi sitomaliza,
Chidi hakuna anachomdai Diamond Platnumz aka Chibu Dangote.Kwa nn ww unaamini diamond ni malaika hakosei? tuanzie hapo kwanza.
Kwanini usitoe na mifano ya wasanii waliofanya vizuri na wako vizuri kiuchumi kwa miaka mingi, maelezo yako hayatikuwa yamekamilika bila kutaja kazi ambayo imebarikiwa na wahusika wanakuwa na mafanikio ya mileleMuziki kazi ya Laana na Haina baraka.
Mi sio mtabiri ila ktk game la muziki naweza kutabiri.
Hakuna mafanikio yoyote huko mbele Kwa mwanamuziki,ni swala la muda kama mwanamuziki hakwenda jela ,atakuwa mteja ,kufulia na kusahaulika na atakuja mwingine na cycle will continue.
Mondi is not exception na yeye safari ya kwenda chini ipo kama haijaanza.
Whitney, Marley, RKelly,LuckyDube,Bi.Kidude Matona ,TID,Chilla Mifano ni mingi sitomaliza,
Mafanikio ni kitu kipana ,mfano Jide unaweza ona amefanikiwa kipesa lakini kiuzazi yeye ni kapuku. So inaweza kuwa kielimu, mahusiano n.kKwanini usitoe na mifano ya wasanii waliofanya vizuri na wako vizuri kiuchumi kwa miaka mingi, maelezo yako hayatikuwa yamekamilika bila kutaja kazi ambayo imebarikiwa na wahusika wanakuwa na mafanikio ya milele
Ndipo shida ilipo. Na hii imemfanya hata q chief mpaka leo amekuwa mtu wa kulalamika.Moja ya kosa kubwa maishan n kuhis matatizo yako yabasababishwa na watu wengine wakati wewe ndio tatzo...yan utabak ukilaumu watu na hauwez kujitoa kwenye ilo tatizo
Nimeona Chid analalamika kaimba na Diamond ila ajalipwa pesa.
Ni hivi Chid Benz ana wimbo unaitwa Tunaishi nao kamshilikisha Diamond Platnumz.
Chidi analalamika mtu ambaye kamshilikisha kwenye wimbo wake ajamlipa. How come mwenye wimbo anataka alipwe na aliyepewa colabo?
Diamond aliamua kuweka chorus baada ya kilio cha muda mrefu kuomba ampe colabo na amsaidie. Akaweka chorus na akamfanyia surprise as aliomba sana mpaka kwenye media wote mashaidi.
Akafanya nae makubaliano ya kuzunguka show zote za wasafi 2023. Pia kurekodi video ya wimbo kwa gharama za Diamond Platnumz. Promo ya project yote ilikuwa iwe chini ya Wasafi.
Mwisho wa siku wimbo haukutoka officially Chidibenz anataka alipwe na Diamond.
Kama kawaida ya wanafki wanamjaza Chidi ana akili nyingi kumuelewa lazima uwe genius 😂😂
Chidi waambie watanzania kilitokea nini Mwanza mpaka kila kitu kikafa?
We kweli fala unataja waliokufa mpaka wakina ni kidude kwamba ukifanya mziki unakufa usipofanya mziki hufiMuziki kazi ya Laana na Haina baraka.
Mi sio mtabiri ila ktk game la muziki naweza kutabiri.
Hakuna mafanikio yoyote huko mbele Kwa mwanamuziki,ni swala la muda kama mwanamuziki hakwenda jela ,atakuwa mteja ,kufulia na kusahaulika na atakuja mwingine na cycle will continue.
Mondi is not exception na yeye safari ya kwenda chini ipo kama haijaanza.
Whitney, Marley, RKelly,LuckyDube,Bi.Kidude Matona ,TID,Chilla Mifano ni mingi sitomaliza,
SI vizuri kuwasema marehemu ila bibi alikuwa alcoholic hii ni kumaanisha something was wrong.We kweli fala unataja waliokufa mpaka wakina ni kidude kwamba ukifanya mziki unakufa usipofanya mziki hufi
Sent from my Infinix X6517 using JamiiForums mobile app
Mimi ni basha wako.Diamond tunamjua, na Chid Benz tunamjua, wewe ni nani?
Mimi ni basha wako.