Chid Benz hakuna unachomdai Diamond na hausiki kabisa na matatizo yako

Chid Benz hakuna unachomdai Diamond na hausiki kabisa na matatizo yako

Nimeona Chid analalamika kaimba na Diamond ila ajalipwa pesa.

Ni hivi Chid Benz ana wimbo unaitwa Tunaishi nao kamshilikisha Diamond Platnumz.

Chidi analalamika mtu ambaye kamshilikisha kwenye wimbo wake ajamlipa. How come mwenye wimbo anataka alipwe na aliyepewa colabo?

Diamond aliamua kuweka chorus baada ya kilio cha muda mrefu kuomba ampe colabo na amsaidie. Akaweka chorus na akamfanyia surprise as aliomba sana mpaka kwenye media wote mashaidi.

Akafanya nae makubaliano ya kuzunguka show zote za wasafi 2023. Pia kurekodi video ya wimbo kwa gharama za Diamond Platnumz. Promo ya project yote ilikuwa iwe chini ya Wasafi.

Mwisho wa siku wimbo haukutoka officially Chidibenz anataka alipwe na Diamond.

Kama kawaida ya wanafki wanamjaza Chidi ana akili nyingi kumuelewa lazima uwe genius 😂😂

Chidi waambie watanzania kilitokea nini Mwanza mpaka kila kitu kikafa?
Chid ana tatizo la afya ya akili litokanalo na matumizi kabambe ya mihadarati

Asaidiwe tiba
 
Huwa sikubaliani na wewe chawa wa wcb ila kwenye hili nakuunga mkono.

Nimemsikia chid ana makasiriko.

Halafu ajabu ile suprise chid alifurahi hadi kidogo atoe chozi lakini leo analalama kuwa jamaa aliingiza vocal bila kumwambia wakati jamaa alilenga kumboost.

Sometimes wema unaleta lawama. Jamaa anahisi amefail kwa sababu ya watu.
Moja ya kosa kubwa maishan n kuhis matatizo yako yabasababishwa na watu wengine wakati wewe ndio tatzo...yan utabak ukilaumu watu na hauwez kujitoa kwenye ilo tatizo
 
Muziki kazi ya Laana na Haina baraka.

Mi sio mtabiri ila ktk game la muziki naweza kutabiri.

Hakuna mafanikio yoyote huko mbele Kwa mwanamuziki,ni swala la muda kama mwanamuziki hakwenda jela ,atakuwa mteja ,kufulia na kusahaulika na atakuja mwingine na cycle will continue.

Mondi is not exception na yeye safari ya kwenda chini ipo kama haijaanza.

Whitney, Marley, RKelly,LuckyDube,Bi.Kidude Matona ,TID,Chilla Mifano ni mingi sitomaliza,
Mbona unazungumzia walio fel tu au wakina Jiga, Dr dre ,fa,sugu profesa ao ao wakina diamond au umeona walio fel tu
 
Nimeona Chid analalamika kaimba na Diamond ila ajalipwa pesa.

Ni hivi Chid Benz ana wimbo unaitwa Tunaishi nao kamshilikisha Diamond Platnumz.

Chidi analalamika mtu ambaye kamshilikisha kwenye wimbo wake ajamlipa. How come mwenye wimbo anataka alipwe na aliyepewa colabo?

Diamond aliamua kuweka chorus baada ya kilio cha muda mrefu kuomba ampe colabo na amsaidie. Akaweka chorus na akamfanyia surprise as aliomba sana mpaka kwenye media wote mashaidi.

Akafanya nae makubaliano ya kuzunguka show zote za wasafi 2023. Pia kurekodi video ya wimbo kwa gharama za Diamond Platnumz. Promo ya project yote ilikuwa iwe chini ya Wasafi.

Mwisho wa siku wimbo haukutoka officially Chidibenz anataka alipwe na Diamond.

Kama kawaida ya wanafki wanamjaza Chidi ana akili nyingi kumuelewa lazima uwe genius [emoji23][emoji23]

Chidi waambie watanzania kilitokea nini Mwanza mpaka kila kitu kikafa?
Kwa nn ww unaamini diamond ni malaika hakosei? tuanzie hapo kwanza.
 
Muziki kazi ya Laana na Haina baraka.

Mi sio mtabiri ila ktk game la muziki naweza kutabiri.

Hakuna mafanikio yoyote huko mbele Kwa mwanamuziki,ni swala la muda kama mwanamuziki hakwenda jela ,atakuwa mteja ,kufulia na kusahaulika na atakuja mwingine na cycle will continue.

Mondi is not exception na yeye safari ya kwenda chini ipo kama haijaanza.

Whitney, Marley, RKelly,LuckyDube,Bi.Kidude Matona ,TID,Chilla Mifano ni mingi sitomaliza,
Safari ipi kwenye maisha ni ya kudumu? Maana kila nacho kiona ni muda mfupi
 
Muziki kazi ya Laana na Haina baraka.

Mi sio mtabiri ila ktk game la muziki naweza kutabiri.

Hakuna mafanikio yoyote huko mbele Kwa mwanamuziki,ni swala la muda kama mwanamuziki hakwenda jela ,atakuwa mteja ,kufulia na kusahaulika na atakuja mwingine na cycle will continue.

Mondi is not exception na yeye safari ya kwenda chini ipo kama haijaanza.

Whitney, Marley, RKelly,LuckyDube,Bi.Kidude Matona ,TID,Chilla Mifano ni mingi sitomaliza,
Kwanini usitoe na mifano ya wasanii waliofanya vizuri na wako vizuri kiuchumi kwa miaka mingi, maelezo yako hayatikuwa yamekamilika bila kutaja kazi ambayo imebarikiwa na wahusika wanakuwa na mafanikio ya milele
 
Kwanini usitoe na mifano ya wasanii waliofanya vizuri na wako vizuri kiuchumi kwa miaka mingi, maelezo yako hayatikuwa yamekamilika bila kutaja kazi ambayo imebarikiwa na wahusika wanakuwa na mafanikio ya milele
Mafanikio ni kitu kipana ,mfano Jide unaweza ona amefanikiwa kipesa lakini kiuzazi yeye ni kapuku. So inaweza kuwa kielimu, mahusiano n.k
Sema tuangalia mwisho wa wanamuziki huwa vipi.
 
Moja ya kosa kubwa maishan n kuhis matatizo yako yabasababishwa na watu wengine wakati wewe ndio tatzo...yan utabak ukilaumu watu na hauwez kujitoa kwenye ilo tatizo
Ndipo shida ilipo. Na hii imemfanya hata q chief mpaka leo amekuwa mtu wa kulalamika.
Maisha hayajawahi kuwa rahisi. Inawezekana kweli wanakuzibia lakini ukikaa unalia utabaki hapo hapo la msingi ni kupambana. If you cannot fight them, join them.
 
Nimeona Chid analalamika kaimba na Diamond ila ajalipwa pesa.

Ni hivi Chid Benz ana wimbo unaitwa Tunaishi nao kamshilikisha Diamond Platnumz.

Chidi analalamika mtu ambaye kamshilikisha kwenye wimbo wake ajamlipa. How come mwenye wimbo anataka alipwe na aliyepewa colabo?

Diamond aliamua kuweka chorus baada ya kilio cha muda mrefu kuomba ampe colabo na amsaidie. Akaweka chorus na akamfanyia surprise as aliomba sana mpaka kwenye media wote mashaidi.

Akafanya nae makubaliano ya kuzunguka show zote za wasafi 2023. Pia kurekodi video ya wimbo kwa gharama za Diamond Platnumz. Promo ya project yote ilikuwa iwe chini ya Wasafi.

Mwisho wa siku wimbo haukutoka officially Chidibenz anataka alipwe na Diamond.

Kama kawaida ya wanafki wanamjaza Chidi ana akili nyingi kumuelewa lazima uwe genius 😂😂

Chidi waambie watanzania kilitokea nini Mwanza mpaka kila kitu kikafa?


Diamond tunamjua, na Chid Benz tunamjua, wewe ni nani?
 
Muziki kazi ya Laana na Haina baraka.

Mi sio mtabiri ila ktk game la muziki naweza kutabiri.

Hakuna mafanikio yoyote huko mbele Kwa mwanamuziki,ni swala la muda kama mwanamuziki hakwenda jela ,atakuwa mteja ,kufulia na kusahaulika na atakuja mwingine na cycle will continue.

Mondi is not exception na yeye safari ya kwenda chini ipo kama haijaanza.

Whitney, Marley, RKelly,LuckyDube,Bi.Kidude Matona ,TID,Chilla Mifano ni mingi sitomaliza,
We kweli fala unataja waliokufa mpaka wakina ni kidude kwamba ukifanya mziki unakufa usipofanya mziki hufi

Sent from my Infinix X6517 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom