Mkuu, yaani Jide ana miaka zaidi ya 60? Labda miaka 40 na kituMbona komando jide anafanya vyema tu mpaka sasa ana miaka zaid ya 60 ila game yake ipo poa tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu, yaani Jide ana miaka zaidi ya 60? Labda miaka 40 na kituMbona komando jide anafanya vyema tu mpaka sasa ana miaka zaid ya 60 ila game yake ipo poa tu
Hahaha nilikua na exaggerate tu Ili kuonyesha komando wetu kasavaivu kwenye game kwa muda mrefu siunajua Tena siasa za mtaa 😁😁Mkuu, yaani Jide ana miaka zaidi ya 60? Labda miaka 40 na kitu
Nimekuelewa mkuu, ila Jide naye amedumu sana kwenye muzikiHahaha nilikua na exaggerate tu Ili kuonyesha komando wetu kasaivu kwenye game kwa muda mrefu siunajua Tena siasa za mtaa 😁😁
Chidi ana mental issue nashangaa mnamvyomjadili hapa kama ana akili timamu
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Wimbo ni wa Chid Benz so yeye ndio atoe maelezo.Kwa nini wimbo wake hamkuutoa oficially kama mlivyomuahidi/kubaliana?
Mbona walimu,wanajeshi,polisi,nk nao wengi wanaishia pabayaBila kusahau Michael jackson, yani muziki ni kazi ya Laana ni waimba muziki wachache sana huishia vizuri ila baadhi humaliza vibaya sana tena wengine hata kuuwawa
Kwani hakuna wafanyabiashara mtaani wasiofulia ?Muziki kazi ya Laana na Haina baraka.
Mi sio mtabiri ila ktk game la muziki naweza kutabiri.
Hakuna mafanikio yoyote huko mbele Kwa mwanamuziki,ni swala la muda kama mwanamuziki hakwenda jela ,atakuwa mteja ,kufulia na kusahaulika na atakuja mwingine na cycle will continue.
Mondi is not exception na yeye safari ya kwenda chini ipo kama haijaanza.
Whitney, Marley, RKelly,LuckyDube,Bi.Kidude Matona ,TID,Chilla Mifano ni mingi sitomaliza,
😂😂😂😂😂 oya GENTAMYCINE unaitwa hukuChid benz na gentamycine ni pete na kidole wote ni mental case wanahitajika kuwa Mirembe.
Kaka DE CAPRI DON naomba namba yako ya whastapp,nimejaribu kuja pm ila acaunt yang inasumbuaMbona unazungumzia walio fel tu au wakina Jiga, Dr dre ,fa,sugu profesa ao ao wakina diamond au umeona walio fel tu
Kaka nina shida na wewe naomba namba yako ya whatsAppMafanikio ni kitu kipana ,mfano Jide unaweza ona amefanikiwa kipesa lakini kiuzazi yeye ni kapuku. So inaweza kuwa kielimu, mahusiano n.k
Sema tuangalia mwisho wa wanamuziki huwa vipi.