Chid Benz hakuna unachomdai Diamond na hausiki kabisa na matatizo yako

Chid Benz hakuna unachomdai Diamond na hausiki kabisa na matatizo yako

Sasa watu wa Yanga si mumpe hela jamaa (mshabiki wenu) amewatangaIa jersey yenu, tena alivaa mpya kabisa hata label hajatoa
 
Chidi ni mental case usimchukulie serious.
Nimeona Chid analalamika kaimba na Diamond ila ajalipwa pesa.

Ni hivi Chid Benz ana wimbo unaitwa Tunaishi nao kamshilikisha Diamond Platnumz.

Chidi analalamika mtu ambaye kamshilikisha kwenye wimbo wake ajamlipa. How come mwenye wimbo anataka alipwe na aliyepewa colabo?

Diamond aliamua kuweka chorus baada ya kilio cha muda mrefu kuomba ampe colabo na amsaidie. Akaweka chorus na akamfanyia surprise as aliomba sana mpaka kwenye media wote mashaidi.

Akafanya nae makubaliano ya kuzunguka show zote za wasafi 2023. Pia kurekodi video ya wimbo kwa gharama za Diamond Platnumz. Promo ya project yote ilikuwa iwe chini ya Wasafi.

Mwisho wa siku wimbo haukutoka officially Chidibenz anataka alipwe na Diamond.

Kama kawaida ya wanafki wanamjaza Chidi ana akili nyingi kumuelewa lazima uwe genius 😂😂

Chidi waambie watanzania kilitokea nini Mwanza mpaka kila kitu kikafa?
 
Mafanikio ni kitu kipana ,mfano Jide unaweza ona amefanikiwa kipesa lakini kiuzazi yeye ni kapuku. So inaweza kuwa kielimu, mahusiano n.k
Sema tuangalia mwisho wa wanamuziki huwa vipi.
kazi gani ambayo mwisho wake unakuwa mzuri.
 
Muziki kazi ya Laana na Haina baraka.

Mi sio mtabiri ila ktk game la muziki naweza kutabiri.

Hakuna mafanikio yoyote huko mbele Kwa mwanamuziki,ni swala la muda kama mwanamuziki hakwenda jela ,atakuwa mteja ,kufulia na kusahaulika na atakuja mwingine na cycle will continue.

Mondi is not exception na yeye safari ya kwenda chini ipo kama haijaanza.

Whitney, Marley, RKelly,LuckyDube,Bi.Kidude Matona ,TID,Chilla Mifano ni mingi sitomaliza,
Bullshit. Unajua duniani kuna wanamuziki wangapi ambao huwa wanaishi mpaka wanakufa bila matukio tata? Kazi yoyote duniani lazima itakuwa na some casualties kwa sababu mbalimbali.
 
Nimeona Chid analalamika kaimba na Diamond ila ajalipwa pesa.

Ni hivi Chid Benz ana wimbo unaitwa Tunaishi nao kamshilikisha Diamond Platnumz.

Chidi analalamika mtu ambaye kamshilikisha kwenye wimbo wake ajamlipa. How come mwenye wimbo anataka alipwe na aliyepewa colabo?

Diamond aliamua kuweka chorus baada ya kilio cha muda mrefu kuomba ampe colabo na amsaidie. Akaweka chorus na akamfanyia surprise as aliomba sana mpaka kwenye media wote mashaidi.

Akafanya nae makubaliano ya kuzunguka show zote za wasafi 2023. Pia kurekodi video ya wimbo kwa gharama za Diamond Platnumz. Promo ya project yote ilikuwa iwe chini ya Wasafi.

Mwisho wa siku wimbo haukutoka officially Chidibenz anataka alipwe na Diamond.

Kama kawaida ya wanafki wanamjaza Chidi ana akili nyingi kumuelewa lazima uwe genius [emoji23][emoji23]

Chidi waambie watanzania kilitokea nini Mwanza mpaka kila kitu kikafa?
Mkuu ungetujuza kilichotokea mwanza hadi mchongo ukafa
 
Wewe msssssenge innocent dependent unapenda kuongea uongo kisa tu dayamondi anakutatua marinda. Wewe matterco lokole tunakujua vizuri shoga wewe mpigwa miti
 
Acha kukariri mkuu.
Km hao uliowatolea mfano kuna step walikosea kwani ni dhambi kwa wengine kukwepa?
Muziki kazi ya Laana na Haina baraka.

Mi sio mtabiri ila ktk game la muziki naweza kutabiri.

Hakuna mafanikio yoyote huko mbele Kwa mwanamuziki,ni swala la muda kama mwanamuziki hakwenda jela ,atakuwa mteja ,kufulia na kusahaulika na atakuja mwingine na cycle will continue.

Mondi is not exception na yeye safari ya kwenda chini ipo kama haijaanza.

Whitney, Marley, RKelly,LuckyDube,Bi.Kidude Matona ,TID,Chilla Mifano ni mingi sitomaliza,
 
Jamani hiki kipndi cha baby Kabae sikielewi...mbona wanamuhoji sana mama yake Chid mpk keroo...
 
Jamani hiki kipndi cha baby Kabae sikielewi...mbona wanamuhoji sana mama yake Chid mpk keroo...
Umaarufu unatafutwa kwa lazima kipindi kimepata pakushikia ndio wanang'ng'ania hapo
 
Muziki kazi ya Laana na Haina baraka.

Mi sio mtabiri ila ktk game la muziki naweza kutabiri.

Hakuna mafanikio yoyote huko mbele Kwa mwanamuziki,ni swala la muda kama mwanamuziki hakwenda jela ,atakuwa mteja ,kufulia na kusahaulika na atakuja mwingine na cycle will continue.

Mondi is not exception na yeye safari ya kwenda chini ipo kama haijaanza.

Whitney, Marley, RKelly,LuckyDube,Bi.Kidude Matona ,TID,Chilla Mifano ni mingi sitomaliza,
Na jigga vp ? Ni bilionea wa dola unajua hilo?
 
Muziki kazi ya Laana na Haina baraka.

Mi sio mtabiri ila ktk game la muziki naweza kutabiri.

Hakuna mafanikio yoyote huko mbele Kwa mwanamuziki,ni swala la muda kama mwanamuziki hakwenda jela ,atakuwa mteja ,kufulia na kusahaulika na atakuja mwingine na cycle will continue.

Mondi is not exception na yeye safari ya kwenda chini ipo kama haijaanza.

Whitney, Marley, RKelly,LuckyDube,Bi.Kidude Matona ,TID,Chilla Mifano ni mingi sitomaliza,
Umeniharibia jumapili yangu kwa kusoma hii comment ya kipumbavu zaidi kwa mwaka huu. Mtu yeyote anaweza kumbwa na balaa na kujikuta kwenye matatizo.
 
Nimeona Chid analalamika kaimba na Diamond ila ajalipwa pesa.

Ni hivi Chid Benz ana wimbo unaitwa Tunaishi nao kamshilikisha Diamond Platnumz.

Chidi analalamika mtu ambaye kamshilikisha kwenye wimbo wake ajamlipa. How come mwenye wimbo anataka alipwe na aliyepewa colabo?

Diamond aliamua kuweka chorus baada ya kilio cha muda mrefu kuomba ampe colabo na amsaidie. Akaweka chorus na akamfanyia surprise as aliomba sana mpaka kwenye media wote mashaidi.

Akafanya nae makubaliano ya kuzunguka show zote za wasafi 2023. Pia kurekodi video ya wimbo kwa gharama za Diamond Platnumz. Promo ya project yote ilikuwa iwe chini ya Wasafi.

Mwisho wa siku wimbo haukutoka officially Chidibenz anataka alipwe na Diamond.

Kama kawaida ya wanafki wanamjaza Chidi ana akili nyingi kumuelewa lazima uwe genius [emoji23][emoji23]

Chidi waambie watanzania kilitokea nini Mwanza mpaka kila kitu kikafa?
Kwa nini wimbo wake hamkuutoa oficially kama mlivyomuahidi/kubaliana?
 
Umaarufu unatafutwa kwa lazima kipindi kimepata pakushikia ndio wanang'ng'ania hapo
Yani mama wa watu kaishiwa maelezo lakini wapi yupo nae tuu...mama anaonekana ana uchungu mzito yy kakazana kumuhoji..
 
Back
Top Bottom