Wewe ndio umeongea sasaChidi ana mental issue nashangaa mnamvyomjadili hapa kama ana akili timamu
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ndio umeongea sasaChidi ana mental issue nashangaa mnamvyomjadili hapa kama ana akili timamu
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Nimeona Chid analalamika kaimba na Diamond ila ajalipwa pesa.
Ni hivi Chid Benz ana wimbo unaitwa Tunaishi nao kamshilikisha Diamond Platnumz.
Chidi analalamika mtu ambaye kamshilikisha kwenye wimbo wake ajamlipa. How come mwenye wimbo anataka alipwe na aliyepewa colabo?
Diamond aliamua kuweka chorus baada ya kilio cha muda mrefu kuomba ampe colabo na amsaidie. Akaweka chorus na akamfanyia surprise as aliomba sana mpaka kwenye media wote mashaidi.
Akafanya nae makubaliano ya kuzunguka show zote za wasafi 2023. Pia kurekodi video ya wimbo kwa gharama za Diamond Platnumz. Promo ya project yote ilikuwa iwe chini ya Wasafi.
Mwisho wa siku wimbo haukutoka officially Chidibenz anataka alipwe na Diamond.
Kama kawaida ya wanafki wanamjaza Chidi ana akili nyingi kumuelewa lazima uwe genius 😂😂
Chidi waambie watanzania kilitokea nini Mwanza mpaka kila kitu kikafa?
Ni wapuuzi mno, wanawachezea akili mashabiki wao wasio na akiliWanapenda kutengeneza matukio
Mtu juzi hapa kaenda stendi,mara paap kaibiwa kofia [emoji1]
Ova
kazi gani ambayo watu wake huishia vizuri?Bila kusahau Michael jackson, yani muziki ni kazi ya Laana ni waimba muziki wachache sana huishia vizuri ila baadhi humaliza vibaya sana tena wengine hata kuuwawa
kazi gani ambayo mwisho wake unakuwa mzuri.Mafanikio ni kitu kipana ,mfano Jide unaweza ona amefanikiwa kipesa lakini kiuzazi yeye ni kapuku. So inaweza kuwa kielimu, mahusiano n.k
Sema tuangalia mwisho wa wanamuziki huwa vipi.
Ajabu zaidi ni Clouds kumhoji mtu ambaye hayuko sawa, na wengi tunasema jamaa jiniasi sana,?!!!!Chidi ana mental issue nashangaa mnamvyomjadili hapa kama ana akili timamu
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Mods wa JFkazi gani ambayo watu wake huishia vizuri?
Waliompa airtime ya lisaa lizma tuendelee kuwachukulia serious?Chidi ni mental case usimchukulie serious.
Bullshit. Unajua duniani kuna wanamuziki wangapi ambao huwa wanaishi mpaka wanakufa bila matukio tata? Kazi yoyote duniani lazima itakuwa na some casualties kwa sababu mbalimbali.Muziki kazi ya Laana na Haina baraka.
Mi sio mtabiri ila ktk game la muziki naweza kutabiri.
Hakuna mafanikio yoyote huko mbele Kwa mwanamuziki,ni swala la muda kama mwanamuziki hakwenda jela ,atakuwa mteja ,kufulia na kusahaulika na atakuja mwingine na cycle will continue.
Mondi is not exception na yeye safari ya kwenda chini ipo kama haijaanza.
Whitney, Marley, RKelly,LuckyDube,Bi.Kidude Matona ,TID,Chilla Mifano ni mingi sitomaliza,
Mkuu ungetujuza kilichotokea mwanza hadi mchongo ukafaNimeona Chid analalamika kaimba na Diamond ila ajalipwa pesa.
Ni hivi Chid Benz ana wimbo unaitwa Tunaishi nao kamshilikisha Diamond Platnumz.
Chidi analalamika mtu ambaye kamshilikisha kwenye wimbo wake ajamlipa. How come mwenye wimbo anataka alipwe na aliyepewa colabo?
Diamond aliamua kuweka chorus baada ya kilio cha muda mrefu kuomba ampe colabo na amsaidie. Akaweka chorus na akamfanyia surprise as aliomba sana mpaka kwenye media wote mashaidi.
Akafanya nae makubaliano ya kuzunguka show zote za wasafi 2023. Pia kurekodi video ya wimbo kwa gharama za Diamond Platnumz. Promo ya project yote ilikuwa iwe chini ya Wasafi.
Mwisho wa siku wimbo haukutoka officially Chidibenz anataka alipwe na Diamond.
Kama kawaida ya wanafki wanamjaza Chidi ana akili nyingi kumuelewa lazima uwe genius [emoji23][emoji23]
Chidi waambie watanzania kilitokea nini Mwanza mpaka kila kitu kikafa?
Yeah! Coz walitaka wawaonyeshe hali halisi ya mchiziWaliompa airtime ya lisaa lizma tuendelee kuwachukulia serious?
Muziki kazi ya Laana na Haina baraka.
Mi sio mtabiri ila ktk game la muziki naweza kutabiri.
Hakuna mafanikio yoyote huko mbele Kwa mwanamuziki,ni swala la muda kama mwanamuziki hakwenda jela ,atakuwa mteja ,kufulia na kusahaulika na atakuja mwingine na cycle will continue.
Mondi is not exception na yeye safari ya kwenda chini ipo kama haijaanza.
Whitney, Marley, RKelly,LuckyDube,Bi.Kidude Matona ,TID,Chilla Mifano ni mingi sitomaliza,
Umaarufu unatafutwa kwa lazima kipindi kimepata pakushikia ndio wanang'ng'ania hapoJamani hiki kipndi cha baby Kabae sikielewi...mbona wanamuhoji sana mama yake Chid mpk keroo...
Na jigga vp ? Ni bilionea wa dola unajua hilo?Muziki kazi ya Laana na Haina baraka.
Mi sio mtabiri ila ktk game la muziki naweza kutabiri.
Hakuna mafanikio yoyote huko mbele Kwa mwanamuziki,ni swala la muda kama mwanamuziki hakwenda jela ,atakuwa mteja ,kufulia na kusahaulika na atakuja mwingine na cycle will continue.
Mondi is not exception na yeye safari ya kwenda chini ipo kama haijaanza.
Whitney, Marley, RKelly,LuckyDube,Bi.Kidude Matona ,TID,Chilla Mifano ni mingi sitomaliza,
Umeniharibia jumapili yangu kwa kusoma hii comment ya kipumbavu zaidi kwa mwaka huu. Mtu yeyote anaweza kumbwa na balaa na kujikuta kwenye matatizo.Muziki kazi ya Laana na Haina baraka.
Mi sio mtabiri ila ktk game la muziki naweza kutabiri.
Hakuna mafanikio yoyote huko mbele Kwa mwanamuziki,ni swala la muda kama mwanamuziki hakwenda jela ,atakuwa mteja ,kufulia na kusahaulika na atakuja mwingine na cycle will continue.
Mondi is not exception na yeye safari ya kwenda chini ipo kama haijaanza.
Whitney, Marley, RKelly,LuckyDube,Bi.Kidude Matona ,TID,Chilla Mifano ni mingi sitomaliza,
Kwa nini wimbo wake hamkuutoa oficially kama mlivyomuahidi/kubaliana?Nimeona Chid analalamika kaimba na Diamond ila ajalipwa pesa.
Ni hivi Chid Benz ana wimbo unaitwa Tunaishi nao kamshilikisha Diamond Platnumz.
Chidi analalamika mtu ambaye kamshilikisha kwenye wimbo wake ajamlipa. How come mwenye wimbo anataka alipwe na aliyepewa colabo?
Diamond aliamua kuweka chorus baada ya kilio cha muda mrefu kuomba ampe colabo na amsaidie. Akaweka chorus na akamfanyia surprise as aliomba sana mpaka kwenye media wote mashaidi.
Akafanya nae makubaliano ya kuzunguka show zote za wasafi 2023. Pia kurekodi video ya wimbo kwa gharama za Diamond Platnumz. Promo ya project yote ilikuwa iwe chini ya Wasafi.
Mwisho wa siku wimbo haukutoka officially Chidibenz anataka alipwe na Diamond.
Kama kawaida ya wanafki wanamjaza Chidi ana akili nyingi kumuelewa lazima uwe genius [emoji23][emoji23]
Chidi waambie watanzania kilitokea nini Mwanza mpaka kila kitu kikafa?
Yani mama wa watu kaishiwa maelezo lakini wapi yupo nae tuu...mama anaonekana ana uchungu mzito yy kakazana kumuhoji..Umaarufu unatafutwa kwa lazima kipindi kimepata pakushikia ndio wanang'ng'ania hapo