Chid Benz: Majizo alitaka kunipa elfu 50 kwenye mziki mnene

Chid Benz: Majizo alitaka kunipa elfu 50 kwenye mziki mnene

Ninachokiona kuna siku hata hao wasanii wanaoisifia wcb nayo wataanika madhaifu yao mana kwa sie wafanya biashala tunajua hakuna mfanyabiashala asiyemnyonya kijakazi mana kawaida tunaangalia faida na najua huu ni mwanzo
 
Shida wengi wetu tunamzalau dudubaya wakati jamaa huwa ana point sana kuhusu unyonyaji wa wasanii


Dudubaya anasemaga sana kuhusu unyonyaji wa wasanii

Sent using Jamii Forums mobile app
napendaga sana kumsilikiza jamaa anavyopondaga kuhusu hiz mambo ..anaongea huku mwenyewe anachekaaaaaa.Huwa ananichekesha sanaa
 
Hii nchi ni ya "witch hunters" tu kabla walilalamikiwa wadosi kwenye mambo ya mauzo ya Album.

It's business kama haikufai unaenda wanakokufaa.
 
Ila elfu 50 kweli?dah EFM hapo mmetia aibu.Yani yale ma punchline ya chidi na amshaamsha yote ile aliyonayo kwa elfu 50.Duh
 
Robidinyo Kama ungekuwa ni mfuatiliaji mzuri wa "industry ya muziki" (Hapa tuelewane, sijamaanisha mfuatiliaji wa miziki ile unayopakuwa bure mitandaoni au kuingiza kwenye vile vibanda umiza, namaanisha sekta ya burudani ya muziki kiujumla) usingekuja na hoja dhaifu kiasi hicho...

1. Tukianza na Mavoko, kuna interview ashawahi hojiwa akasema alishindwa kuendana na kasi ya pale usafini ya kutoa ngoma back to back... Kumbuka alivunja mkataba bila hata kurudisha mia ya branding aliyofanyiwa na Wasafi

2. Chinga wa Chitoholi Tanzania ilikuwa haimjui zaidi ya pale alipokuwa akiishi tu. Lakini mara tu alivoshikwa mkono na Baba lao hadi Waitaliano wanamwita shemeji...

Sasa kwa branding kama hiyo unategemea siku ukitaka kutoka unatoka km umetoka chooni? Ni lazima ulipe gharama mzee. Sijawahi sikia mahali mtu akavunja mkataba bila kuulipia (Ukitaka kuelewa zaidi fuatiliaga mpira wa ulaya)

Hata hivo hapa tulikuwa tunaongelea maswala ya show maandazi hizi za buk 10... Atleast Wasafi Chid kasema wanaanzia mil 2

Tunaomba interview ya Richard Mavoko akikili kwa kinywa chake kuwa amrshindwa kuendana na kasi ya Usafini ili itumike kama Reference
 
Ni aibu sana kama ni kweli!Yaanii Majizzo......Haaahhhahh daaa Tz hii! Wacha Diamond apige tu kazi upuuzi kama huu unachosha.
 
Asipoelewa hapo usitumie nguvu nyingi kumuelewesha
Contract means consent agreement between the parties enforcement by law.Uwezi ukasema wakinyonyaji kwasababu wakati huyo harmonize ana sign alipewa mkataba ausome pamoja na wazazi wake na kwa ridhaa zao wakasign bila kulazimishwa ndo ukamfanya awe msanii mkubwa na mwenye mafanikio tukija kwa rich mavoko wakati ana sign alikuwa na mwanasheria wake pamoja na afisa mtendaji wa BASATA na baadhi ya ndugu zake na wakapata nafasi ya kuusoma na wakakubali mkataba bila kushurutishwa kwa ridhaa yao nakausaini hiyo ni tofauti na mikataba ya media mfano chid Benz ajaridhia kulipwa elfu 50 za show lakini Kama hatasaini nyimbo zake hazitapigwa Huu ndo unaitwa mkataba wa kinyonyaji cos umemtisha muhusika Kama hata pokea offer yenu ngoma zake hampigi so ili ngoma zake mpige ni lazima akubali offer yenu hata Kama si kwa ridhaa yake.Mzee baba usiwe unatetea upuuzi hata Kama una mapenzi na hiyo clouds.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Contract means consent agreement between the parties enforcement by law.Uwezi ukasema wakinyonyaji kwasababu wakati huyo harmonize ana sign alipewa mkataba ausome pamoja na wazazi wake na kwa ridhaa zao wakasign bila kulazimishwa ndo ukamfanya awe msanii mkubwa na mwenye mafanikio tukija kwa rich mavoko wakati ana sign alikuwa na mwanasheria wake pamoja na afisa mtendaji wa BASATA na baadhi ya ndugu zake na wakapata nafasi ya kuusoma na wakakubali mkataba bila kushurutishwa kwa ridhaa yao nakausaini hiyo ni tofauti na mikataba ya media mfano chid Benz ajaridhia kulipwa elfu 50 za show lakini Kama hatasaini nyimbo zake hazitapigwa Huu ndo unaitwa mkataba wa kinyonyaji cos umemtisha muhusika Kama hata pokea offer yenu ngoma zake hampigi so ili ngoma zake mpige ni lazima akubali offer yenu hata Kama si kwa ridhaa yake.Mzee baba usiwe unatetea upuuzi hata Kama una mapenzi na hiyo clouds.
U team umewakaaa hawachambui mambo

kelphin kepph
 
Robidinyo Kama ungekuwa ni mfuatiliaji mzuri wa "industry ya muziki" (Hapa tuelewane, sijamaanisha mfuatiliaji wa miziki ile unayopakuwa bure mitandaoni au kuingiza kwenye vile vibanda umiza, namaanisha sekta ya burudani ya muziki kiujumla) usingekuja na hoja dhaifu kiasi hicho...

1. Tukianza na Mavoko, kuna interview ashawahi hojiwa akasema alishindwa kuendana na kasi ya pale usafini ya kutoa ngoma back to back... Kumbuka alivunja mkataba bila hata kurudisha mia ya branding aliyofanyiwa na Wasafi

2. Chinga wa Chitoholi Tanzania ilikuwa haimjui zaidi ya pale alipokuwa akiishi tu. Lakini mara tu alivoshikwa mkono na Baba lao hadi Waitaliano wanamwita shemeji...

Sasa kwa branding kama hiyo unategemea siku ukitaka kutoka unatoka km umetoka chooni? Ni lazima ulipe gharama mzee. Sijawahi sikia mahali mtu akavunja mkataba bila kuulipia (Ukitaka kuelewa zaidi fuatiliaga mpira wa ulaya)

Hata hivo hapa tulikuwa tunaongelea maswala ya show maandazi hizi za buk 10... Atleast Wasafi Chid kasema wanaanzia mil 2
Fact boy
Jamaa yangu mmja alitaka kuvunja mkataba na company tulokua tunafanyia kazi
Akaambiwa alipe million 6!!!!!
Akaona Bora aendelee tu

kelphin kepph
 
Bado kuna watu wanamlaumu diamond kwa maisha haya ya sasa ? Mastaa wengi wana majina lakini hawana kitu kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
Of course mzee
Kunavitu vyakujifunza kutoka kwake jamaa anapambana
Anaangalia fulsa
Hachoki kujaribu
Hata kama anakosea baadh ya vitu
Ila kunamambo yakujifunza kutoka kwake

kelphin kepph
 
Laiti watu wangejua uhalisia wa maisha wa hawa wasanii wao pendwa.....
 
Clouds na Efm ni wanyonyaji wakubwa.....Wamefeli kumnyonya DOMO ndio maana hawapigi nyimbo zake
problem ni mtoa mada hajaweka video clip kuonyesha kitu alichoongea chidi ndio maana umekuja kufanya assumption. kasema kafanya fiesta kalipwa over one million per show, na kafanya wasafi wamemlipa vizuri sana, sasa efm wanampigia simu wana elf 50.
 
problem ni mtoa mada hajaweka video clip kuonyesha kitu alichoongea chidi ndio maana umekuja kufanya assumption. kasema kafanya fiesta kalipwa over one million per show, na kafanya wasafi wamemlipa vizuri sana, sasa efm wanampigia simu wana elf 50.
Mkuu sidhani kama wengi wanaochangia humu wameisikiliza hiyo interview...
 
Contract means consent agreement between the parties enforcement by law.Uwezi ukasema wakinyonyaji kwasababu wakati huyo harmonize ana sign alipewa mkataba ausome pamoja na wazazi wake na kwa ridhaa zao wakasign bila kulazimishwa ndo ukamfanya awe msanii mkubwa na mwenye mafanikio tukija kwa rich mavoko wakati ana sign alikuwa na mwanasheria wake pamoja na afisa mtendaji wa BASATA na baadhi ya ndugu zake na wakapata nafasi ya kuusoma na wakakubali mkataba bila kushurutishwa kwa ridhaa yao nakausaini hiyo ni tofauti na mikataba ya media mfano chid Benz ajaridhia kulipwa elfu 50 za show lakini Kama hatasaini nyimbo zake hazitapigwa Huu ndo unaitwa mkataba wa kinyonyaji cos umemtisha muhusika Kama hata pokea offer yenu ngoma zake hampigi so ili ngoma zake mpige ni lazima akubali offer yenu hata Kama si kwa ridhaa yake.Mzee baba usiwe unatetea upuuzi hata Kama una mapenzi na hiyo clouds.
Fact

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom