Chid Benz: Tupac yupo Cuba na tunawasiliana naye!

Chid Benz: Tupac yupo Cuba na tunawasiliana naye!

View attachment 578423
Chidi Benz azua jipya mjini, adai 2Pac yuko hai na anaishi nchini Cuba, na wanaongea kila siku na tayari ameshafanya naye ngoma itakayotoka hivi karibuni.

Chidi Benz ambaye kwa sasa anazungumzwa sana kwa skendo za utumiaji wa madawa ya kulevya, akiongea na eNewz alisema kuwa "Maneno yanayoongelewa kwamba 2Pac amefariki siyo kweli, Kila siku ninaongea na 2pac na hata sasa hivi nimetoka kuongea naye"

Mimi na 2Pac tumekutana Cuba, na tumefanya nyimbo ya pamoja na Mungu akisaidia hivi karibuni tataachia nyimbo hiyo".

"2Pac ana mpango wa kurudi kwenye muziki, na wimbo wetu tuliorekodi ndiyo utamrudisha. Na hivi karibuni 2Pac atakuja bongo, ila atakuja kimya kimya kama alivyokuja Beckam" Aliongeza Chidi Benz.

Pia Chid aliendelea kwa kusema "Baada ya kukutana na 2Pac tuliamua kurekodi baadhi ya vipande vya video ambavyo tutaanza kuvisambaza kwanza ili kuweza kuwajulisha watu kuwa 2Pac bado yupo hai na kuwaondoa watu fikra za kuwa 2Pac ni marehemu".

Hata hivyo kitu cha kushangaza zaidi ni baada ya Chid kuendelea kusema kwamba anamdai 2Pac kipini chake cha puuani ambacho alimuazima walipokuwa wote nchini Cuba.

Kama ilivyokuwa kwa Young Dee, Chid Benz naye ameonekana kuwa na hali ya kujichanganya sana katika maelezo yake kila aanapoongea.

Hivi karibuni Ali Kiba akiongea na eNewz alishauri serikali iingilie kati suala la Chid Benz na kumpatia matibabu. Na hata kama akibainika anajihusisha na madawa Alikiba alishauri "Chid asifungwe bali apelekwe 'rehab' akatibiwe kwani kumfunga mtu anayetumia madawa ni kumtesa tu".
Kwa kweli kwa upuuzi huo Makonda naona bado ana kazi kweli.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu wanahukumu kwa habari za mtandaoni.....

Hawaombi kuwekewa chanzo cha habari ili na wao wakajionee wenyewe na kujiridhisha kuwa ni kweli.........

Pengine alikuwa anazungumzia tu katika Hali ya masikhara.........!!!!

Mbona watu wengi tu ni watumiaji wa hiyo kitu lakini ni waongeaji wazuri na wengine ni viongozi went.....mipira na vyama....!??
 
Usiruhusu media zikuamulie personality ya mtu fulani kwani siku zote media zipo kibiashara ili zifanye biashara ni lazima zipate attention za watu.......

Kwa hiyo muda wote wanawaza habari zitakazo shtusha umma ili wapate attention.....bila kupima taadhima ya habari hiyo.......

Bahati mbaya media za kwetu zimekutana na hadhira zinazopokea mambo kama yalivyo pasipo kushirikisha fikra zao........

Mimi bado naamini kuwa hata kama kweli ameyasema hayo itakuwa ni katika hali ya masikhara kama ambavyo sisi tunavyofanya masikhara........

Ingekuwa kila masikhara tunayoyafanya yanaonyeshwa hewani si wote tungeonekana vichaa....!!?

Don't be too quick to judge
 
Nakupinga bhagi tumevuta sana tu, lakini sio hali hii ya chidi, sema watu ambao hamjavuta bhangi mnadanganywa sana.tena mi nilikuwa navuta yakuotesha nakuvundika/ kukausha mwenyewe haijachanganywa na sigara nyota kama mnazo uziwa mjini, lkn haikunichengua wala hakuna mtu aliyejua kama natumia, siri hii naitoa hapa jf.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sacrament haina madhara yeyote ndio maana inatumika kwenye ibada takatifu

Weed for health and wisdom
 
View attachment 578423
Chidi Benz azua jipya mjini, adai 2Pac yuko hai na anaishi nchini Cuba, na wanaongea kila siku na tayari ameshafanya naye ngoma itakayotoka hivi karibuni.

Chidi Benz ambaye kwa sasa anazungumzwa sana kwa skendo za utumiaji wa madawa ya kulevya, akiongea na eNewz alisema kuwa "Maneno yanayoongelewa kwamba 2Pac amefariki siyo kweli, Kila siku ninaongea na 2pac na hata sasa hivi nimetoka kuongea naye"

Mimi na 2Pac tumekutana Cuba, na tumefanya nyimbo ya pamoja na Mungu akisaidia hivi karibuni tataachia nyimbo hiyo".

"2Pac ana mpango wa kurudi kwenye muziki, na wimbo wetu tuliorekodi ndiyo utamrudisha. Na hivi karibuni 2Pac atakuja bongo, ila atakuja kimya kimya kama alivyokuja Beckam" Aliongeza Chidi Benz.

Pia Chid aliendelea kwa kusema "Baada ya kukutana na 2Pac tuliamua kurekodi baadhi ya vipande vya video ambavyo tutaanza kuvisambaza kwanza ili kuweza kuwajulisha watu kuwa 2Pac bado yupo hai na kuwaondoa watu fikra za kuwa 2Pac ni marehemu".

Hata hivyo kitu cha kushangaza zaidi ni baada ya Chid kuendelea kusema kwamba anamdai 2Pac kipini chake cha puuani ambacho alimuazima walipokuwa wote nchini Cuba.

Kama ilivyokuwa kwa Young Dee, Chid Benz naye ameonekana kuwa na hali ya kujichanganya sana katika maelezo yake kila aanapoongea.

Hivi karibuni Ali Kiba akiongea na eNewz alishauri serikali iingilie kati suala la Chid Benz na kumpatia matibabu. Na hata kama akibainika anajihusisha na madawa Alikiba alishauri "Chid asifungwe bali apelekwe 'rehab' akatibiwe kwani kumfunga mtu anayetumia madawa ni kumtesa tu".
Hahaaaaaaa kweli unga hauwez muacha MTU salama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watatengeneza CALIFORNIA LOVE REMIX.

In white-collar crime, there are ink stains instead of bloodstains.
 
Wataalamu wa saikolojia wapo kusaidia hao watu lakini hawatumiki vilivyo, rehab nyingine biashara tu, amekaa Sana rehab huyo sema chid nae hajawa committed kuacha,, mungu amsaidie !!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
View attachment 578423
Chidi Benz azua jipya mjini, adai 2Pac yuko hai na anaishi nchini Cuba, na wanaongea kila siku na tayari ameshafanya naye ngoma itakayotoka hivi karibuni.

Chidi Benz ambaye kwa sasa anazungumzwa sana kwa skendo za utumiaji wa madawa ya kulevya, akiongea na eNewz alisema kuwa "Maneno yanayoongelewa kwamba 2Pac amefariki siyo kweli, Kila siku ninaongea na 2pac na hata sasa hivi nimetoka kuongea naye"

Mimi na 2Pac tumekutana Cuba, na tumefanya nyimbo ya pamoja na Mungu akisaidia hivi karibuni tataachia nyimbo hiyo".

"2Pac ana mpango wa kurudi kwenye muziki, na wimbo wetu tuliorekodi ndiyo utamrudisha. Na hivi karibuni 2Pac atakuja bongo, ila atakuja kimya kimya kama alivyokuja Beckam" Aliongeza Chidi Benz.

Pia Chid aliendelea kwa kusema "Baada ya kukutana na 2Pac tuliamua kurekodi baadhi ya vipande vya video ambavyo tutaanza kuvisambaza kwanza ili kuweza kuwajulisha watu kuwa 2Pac bado yupo hai na kuwaondoa watu fikra za kuwa 2Pac ni marehemu".

Hata hivyo kitu cha kushangaza zaidi ni baada ya Chid kuendelea kusema kwamba anamdai 2Pac kipini chake cha puuani ambacho alimuazima walipokuwa wote nchini Cuba.

Kama ilivyokuwa kwa Young Dee, Chid Benz naye ameonekana kuwa na hali ya kujichanganya sana katika maelezo yake kila aanapoongea.

Hivi karibuni Ali Kiba akiongea na eNewz alishauri serikali iingilie kati suala la Chid Benz na kumpatia matibabu. Na hata kama akibainika anajihusisha na madawa Alikiba alishauri "Chid asifungwe bali apelekwe 'rehab' akatibiwe kwani kumfunga mtu anayetumia madawa ni kumtesa tu".
 
Kwa theories mbalimbali nilizosoma na kuzifuatilia mpaka sasa naamini ni kweli Shakur yupo Cuba na atajitokeza mda si mrefu, ila huo ukaribu ambao chid ameuelezea kati yao ndo bado nna wasiwasi nao. Jamaa bado anasumbuliwa na maradhi yake
 
Back
Top Bottom