EMMANUEL JACKSON
New Member
- Nov 3, 2014
- 2
- 0
napenda kuendelea kuzungumza ingawa sijui ninani atanisikia..!?,ila nitasema kuumbea na mambo mazuri ni jambo jema sana,mungu anasema ukimnyima maji yakumywa adui yako hilo ni kosa au chakula,watu hufurahia kabisa adui yako akiwa anaumia una sahau kuwa na wewe ni adui wa mwengine,hii yote inasababishwa na kupotea kwa maneno ya mungu vifuani mwa wanadamu,ila hata hivyo kwangu mm hainipi shida kwa kuwa mungu ataleta siku ya kuhukumu,bac kama unahisi mungu kakutuma pesa tafuta kwanguvu mpelekee,kama kakutuma mali tafuta kwanguvu sana mpelekee na kama hakukutuma hivyo vyote bac tafuta alichokuma mpelekee. hahahahahahaaaaaa "mtu mpaka sasa hujui adui yako nani utashinda kweliiiii.....!!!!?"