HOPECOMFORT
JF-Expert Member
- Feb 25, 2012
- 3,921
- 6,646
Ukiwa unaomba unasemaje ? Kama mtu alionywa akusikia akaendelea kua mtu wa fujo nitamwambia nn Mungu sasa? Bora sheria ichukua mkondo wake aache kuchukulia poa kila kitu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
takaye muombea nadhani atakuwa chiziii kama yeye
EMMANUEL JACKSON Imagine kama kila mtu anayekubwa na matatizo angekimbilia drugs sisi wote tungekuwa mateja mbona. Nani asiye na matatizo dunia hii, nani ambaye hajapita kipindi kigumu katika maisha yake, matatizo yanatofautiana lakini haya ya wasanii wetu na wengine all over the world mengi ni ya kujitakia.
Ray C akiwashauri wanajidai wajanja saaaana eti wanajua wanachokifanya. Tena kwa kiburi kabisa akamtandika dada wa watu na rungu, yule mwenzie T.I.D naye akamtukana Ray C mpaka basi! Haya leo anahitaji maombi ya nini? Heeeeyyy!!!
I second you Dinazarde, kuna watu Africa Magharibi wanakufa kwa ebola, my prayers are with them .....victims out there......hawa wanaojitakia na vichwa ngumu vyao tuache kwanza wajifunze!
Mimi mpaka hua nalia nikiona waafrika wenzangu wanavyokufa na ugonjwa wa ebola,leo et niliombee hili le chidy bajaji mfyuuuu mama yake yupo amuombeee sie tupo busy na kuwaombea wengineee
Muombee huko acha roho Mbaya.....
Roho mbaya anayo mbwa kunasiana na mwenzieee
Mimi mpaka hua nalia nikiona waafrika wenzangu wanavyokufa na ugonjwa wa ebola,leo et niliombee hili le chidy bajaji mfyuuuu mama yake yupo amuombeee sie tupo busy na kuwaombea wengineee
Huyo kishakuwa taahira...
Hujazaa bado, tema mate chini.