Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,916
- 43,505
Nina mtoto tayari....
back to topic: hicho anachokifanya ni utaahira, anaenda airport na madawa tena kwenye mfuko wa shati leo anataka maombi yapi apewe adhabu yake hakuna maombi wala nini
Hongera!
Mwl Evelyn Salt huyu jamaa ni zaidi ya chizi unajua alikwenda na vile vipini vyake kwenye pua na heren zake mahakamani ..Hakimu akamwambia akavuvue kwanza ...hapo ndipo na kubaliana nawe kuwa huyu ni chizi kabisa!
Halafu hakuishia hapo akaendelea kuwapiga waandishi wa habari mikwara wasimpige picha!
Kwakweli huyu amesha changanyikiwa kabisa alitakiwa kukaa jela hata mwaka mmoja au achapwe viboko 30 ili akome maana haya yote kajitakia!
Last edited by a moderator: