Chidi Benz ampiga Ray C

Chidi Benz ampiga Ray C

Dawa yake ni ndogo ,kwa kua huo u super star ndio unaomtia ujinga, inatakiwa wananchi ttuamue hivi, tamasha lolote la muziki ambalo linamhusisha chid benzi watu walisusie wasiende, atajikuta hapati shoo yoyote na akili itamkaa sawa.
 
Hii binamu nawe umenigayaa! !!!!
Hutaniwiiiii leo maneno yote kwishaaaa

Leo nipo off binamu si unajua mambo ya weekend, kazin narud kesho saa kumi na mbil hasubuh nipo apa kuendeleza ligwaride
 
Mabaunsa hawakuwepo? wakamshusha?

[h=2]AIBU YA MWAKA: MSANII CHID BENZ AVUTA BANGI UKUMBINI, ATISHIA KUMPIGA DJ NA ATOROKA BILA KULIPIA CHUMBA CHA GUEST[/h]


chidi+benz.JPG

Hapo Chidi Benz akiwa kashikiwa bangi na Shabiki wake na kutoa kibiriti cha gesina kuiwasha kama unavyoona hapo

Chini benz Jana Jumapili wakati anafanya show New maisha Club Dodoma alifanya kitendo ambacho baadhi ya mashabiki walimwona kweli jamaa sasa ameshaanza kuwa chizi.
Wakati akiwa anafanya Show baada ya mzuka kumpanda Chid alichafua hali ya hewa baada ya kuzama mfukoni na kutoka Bonge la kipisi cha Bangi kilichoshiba na kukiwasha pale pale jukwaani bila hata Uwoga...
Hapo ndipo Baunsa wa Maisha kabla akambadilikia kama Mbogo na kumpora hiyo bangi ili asiendelee kuivuta. Kitendo hicho cha kuvuta bangi Club kimeshushia heshima Msanii huyo ambaye ni kioo cha Jamii
 
AIBU YA MWAKA: MSANII CHID BENZ AVUTA BANGI UKUMBINI, ATISHIA KUMPIGA DJ NA ATOROKA BILA KULIPIA CHUMBA CHA GUEST




chidi+benz.JPG

Hapo Chidi Benz akiwa kashikiwa bangi na Shabiki wake na kutoa kibiriti cha gesina kuiwasha kama unavyoona hapo

Chini benz Jana Jumapili wakati anafanya show New maisha Club Dodoma alifanya kitendo ambacho baadhi ya mashabiki walimwona kweli jamaa sasa ameshaanza kuwa chizi.
Wakati akiwa anafanya Show baada ya mzuka kumpanda Chid alichafua hali ya hewa baada ya kuzama mfukoni na kutoka Bonge la kipisi cha Bangi kilichoshiba na kukiwasha pale pale jukwaani bila hata Uwoga...
Hapo ndipo Baunsa wa Maisha kabla akambadilikia kama Mbogo na kumpora hiyo bangi ili asiendelee kuivuta. Kitendo hicho cha kuvuta bangi Club kimeshushia heshima Msanii huyo ambaye ni kioo cha Jamii

Hajapata watu wa kumpa dozi ya ukweli
 
Huyu jamaa sio Ok kichwani kabisa anaitaji msaada wa akili na kiroho kwa pamoja.Kuna yule mwenzake sema hana afya tuu angekuwa vurugu tupu kama huyu.Ila these guy needs help sio bure.
 
Back
Top Bottom