Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwenzang ngoj niku pm binamu
chanzo sio mtoto binamu
sijui umepata ka private meseji kangu hebu do the needful tafadhali
Hoe vibaya hivyo c uweke hapa ......
Rehema yuko poa kidogo ila bidada mwingine mkong'oto ulikua wa haja hadi kutembea ilikua shida.
Ilikuwa lini hiyo? washikaji wa pale kwa Nova hawakuwepo? kama wangekuwepo Chid Benz asingetoka mzima
alhamis ile siku Netherland wanacheza na Argentina...
nasikia jamaa alikimbia mbaya baada ya Rehema kupiga kelele. hawakuwepo wale halafu ilikua nite sana.
I say ni nouma, siku hiyo nilikuwepo mitaa hiyo ila niliondoka mapema sana. Changanyikeni kuna vituo hadi raha!
hahha hapa na hapo kituo.... lol
mwanzoni nilikua nashangaa sana...
keep pushing hapo juu juu ili waje kuwa tenants wangu. Niliwalipa kiingilio wkt wanahit tena kwa hela ya boom wao wakaenda kuvutia unga sasa nasubiri kodi zao ili niongeze apartments. Anyway nampa pole Ray c na mama chid. Yani haka ka rayc nilivyokuwaga nakapenda, mara pu unga mara kamepona im hapy 4 her, akikomaa itakuwa leson kwa wengine na yeye haitamlazimu kuimba ili apate pesa. Al the best kiuno bila mfupaHiyo ndo changanyikeni bana, siku hizi celebrities wa mjini wengi wanaishi huko
Soma nilichoandika hapo juu kabla ya kukandia
Alihamia bunjuahhaha unankumbusha mbali binamu, hivi rehema bado yupo au kahama??