Chidi Benz arudia madawa ya kulevya, Babu Tale aapa kutomsaidia tena!

Mfalme utakuta ni kiongoz wa chama na Serikal Sheria hapo huwa inakuwa sio msemeno tena
 
Haha next day...sio siku ile ile tho
Daaamn!! Tukio liliniuma sana lile! Ila kama alikupooza na ki jinamna utakuwa ulifurahi tu.

Hahaha!! Ifike stage unifikirie mtu mpole sana na mkali kwenye maeneno ya msingi kama mimi vile.
 
Daaamn!! Tukio liliniuma sana lile! Ila kama alikupooza na ki jinamna utakuwa ulifurahi tu.

Hahaha!! Ifike stage unifikirie mtu mpole sana na mkali kwenye maeneno ya msingi kama mimi vile.
[emoji28]haha...byeee nakuacha....naingia mzigoni...mwanamke usafiii[emoji126] [emoji126] [emoji126]
 
Kitendo cha kumtoa rehab ilikuwa first class mistake hata wao walijua atarudi tu unless kama babu alikuwa anataka pata sifa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…