Chidi Benz arudia madawa ya kulevya, Babu Tale aapa kutomsaidia tena!

Mfalme utakuta ni kiongoz wa chama na Serikal Sheria hapo huwa inakuwa sio msemeno tena
Thats y nasema hatujashindwa lakini pia hatujaamua. Juhudi za kumsaka FARU JOHN zingeendana na juhudi za kuwasaka wafalme wa unga, hakika leo tungekuwa na nguvu kazi ya kutosha.
 
Jamaa kiukweli kwa tunae mwona jamaa yuko kwenye hali mbaya sana tena sana yani asa kawa mteja kushinda alivyokuwa mwanzo alafu kama kadata hv maana anaongea peke hata ukizungumza nae anaonekana amedata kabisa so kiukweli jamaa anahitaji msaada tena msaada mkubwa sana ili aweze kurudi katika hali yake ya kawaida tena waharaka maana anaweza kupotea me nshawahi mwesabia siku anavyo vaa mavazi yake nguo alizo nazo asa zina siku ishirini ajabadilisha anavaa jinsi nyeusi na shati ya black na sendo mbovu kabisa anaonekana sana mitaa ya kino manyanya
 
Zile hierarchy of needs....wasanii hawapitii zote....wanaruka baadhi ambazo ni muhimu. Sasa wakianza kuteremka kupitia zile walizopaswa kupitia ndio tabu inaanza

Mkuu,
hii kitu tuliwahi kupewa swali nikiwa Mwaka wa pili, Med school. Somo linaitwa Behaviour Science.
Sikuona kitu kabisaaaaa [emoji28]. Thank God nilikuja kuisoma vizuri baadae hii topic .
 
Dah, yaani kwa harufu ya kuchachafya (chocking smell ) ya Heroine mtu unaanzaje kuanza kuizoea na kutaka iwe part ya maisha yako.?
 
siku hizi anazungukia sana kinondoni manyanya mitaa ya brazil...kachoka hatari
 
Naombeni sana msikilize kilichopo katika wimbo huu.Nimuhim sana katika kukuza fikra zetu.Zawadi yangu kwenu yakufunga mwaka.

Mungu awabariki tuione 2017 kuna vingi vya kujenga katika taifa letu

bonyeza link hiyo chini,
pakua,sikiliza kisha share kwa upendo ndugu

www.mdundo.com/song/73417
 
Enzi za uzima wake alipenda matusi, magomvi na hakuwa wa adabu kwa waliomzidi umri.

Aliwahi kuimba wimbo wa matusi dhidi ya Mh.Lowassa.

Namuombea kwa MUNGU amponye na kumbadilisha.
 
Jana amekataa kuingia kwenye sober house ya pilli misana iliyopo kigamboni akakimbia na kukwea bodaboda... Ukimuona huwezi kuamini kama ni chidi mpaka uambiwe.
 
Babu yani zile nguo naona zina mwezi sasa hatamaniki kadata kesho ataanza kuokota makopo.
 
Hii issue hawa jamaa walikuwa wanatafuta kick Chidi Benz alipaswa kukaa sober house si chini ya miezi 6, kuacha madawa ya kulevya sio kazi rahisi
Tatizo anataka V. I. P treatment na ni mkorofi ajabu ndo maana wanaona bora aondoke
 
King Kong chi chi chi chi Chid Benz, Mfalme Wa Ilala!!

Yupo wapi TID aka Warioba, Kigogo
 
Wapo vijana wengi hasa ukanda wa pwani wako taaban kwa uteja. Lakini huyu mmoja aliyechagua mwenyewe kutumia dawa hizo kwa hiari yake mwenyewe, kuna sababu ya kufeel sorry? Miafrika tuna shida kubwa. Huku kufeel sorry bila kukusudia kuiua biashara hii ya gizani ni unafiki. Let him get finished!
 
Ndio maana yule Rais wa Phillipines anaua yeyote anaye jihusisha na ngada, kule wenzetu sober house ni mochwari, madawa ya kulevya yana maliza sana vijana kwa kweli nina hasira sana hapa nilipo
Kunywa maji cousin upunguze hasira
 
Kama mzazi/wazazi wake walimshindwa mwanzo basi ni ngumu kwa mtu baki kuweza kumkanya na akaacha...

Kilichobaki ni kuuacha ulimwengu uumvunze maana ndio mwalimu nambari moja...
 
Speaking with experience
 
Kuacha madawa si rahisi kihivyo mfumo wa ufahamu na damu ushaathirika sana.Kikubwa ni kuona naona namna bora ya kuishi ndani ya janga hilo na kua positive.Tatizo ndugu yetu kimzik ashapotea pia hana biashara zozote lazima adate tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…