kilalile
JF-Expert Member
- Jun 4, 2012
- 1,594
- 2,207
Thats y nasema hatujashindwa lakini pia hatujaamua. Juhudi za kumsaka FARU JOHN zingeendana na juhudi za kuwasaka wafalme wa unga, hakika leo tungekuwa na nguvu kazi ya kutosha.Mfalme utakuta ni kiongoz wa chama na Serikal Sheria hapo huwa inakuwa sio msemeno tena