ESPRESSO COFFEE
JF-Expert Member
- Sep 6, 2014
- 6,170
- 7,665
Hawezi kuvumilia maswali,kila atakachoulizwa anachukulia person,huyo mtu si mzuri katika interviews,uzuri wa interviews unajibu kila swali utakaloulizwa mambo ya sijui no comment au siwezi kujibu au kupanic ni kuonyeshwa wazi hawawezi interviews.mnyama [emoji3] mi naona ndio anaweza
Hivi ile Kolabo yake na 2PAC imeshatoka.?Yule ni genious ila hajijui tu
Sasa mzee baba teja ata-complicate nini?Chidbenz kwakwel n noma jamaa ana akili sana Kuna interview moja alihojiwa na bongo 5 ..inaitwa mpaka home adse jamaa alikua simple tuu ..Wala haku complicate mambo
NakubaliChilla is the best
Alikiba ndio hamna kitu kabsa kazi kujimwambafy tuHata FA napenda sana kusikiliza Interviews zake.......Interviews zinazoboa ni za TID na ALI KIBA.
Hapo muweke na Jay MoeHata FA napenda sana kusikiliza Interviews zake.......Interviews zinazoboa ni za TID na ALI KIBA.